Hizo ajira za JK zitakuja linio Jamani? Mbona nina elimu , sikuwa na ajira na bado sina ajira? Zitakuja lini hizo ajira ? Hizo naona zilikuwa ni usanii tu wa kujitafutia urais. Likini JK ujue umetuangusha sisi wengine masikini , tusiokuwa na ajira japo tuna ka-elimu kidogo.