Ahadi kumi (10) za mwana TANU na Tanzania yetu ya sasa

Mungu wangu eee...bado unaendelea kujichanganya. Wasomi mchango wao huo ni wa mawazo. Siku hizi wanaita consultancy. Michango ya aina hii huwezi kuonesha rundo la kazi kama fundi seremala anavyoweza kuonesha rundo la maranda ujue kafanya kazi. Mtei hana rundo la Maranda kuonesha kafanya lipi. Lakini pamoja na kazi yake kuwa ya kitaalam, bado naweza kukuonesha kitu kafanya.

Hii kauli uliyoibandika hapa ni ya uongo: Kwamba "usomi wake alihakikisha unamfaa yeye tu." Design ya mfumo wa kodi mpya kafanya mtei na kamati yake wakati wa Mwinyi. Matunda yake tunayaona. Kwenye bodi ya Kahawa ameweka mawazo mazuri mengi kuboresha zao hili, likiwapo la matumizi ya miche ya kisasa, ambapo mawazo na mitizamo mingine anafundisha watu kwa matendo badala ya maneno au maandiko. Mtei analo shamba la kahawa la mfano watu wakajifunze kwake kwa matendo.

Wewe ZeMarcopolo hujui kitu kuhusu Mtei.

Chadema kilipoanza 1992/93 Mtei alikusanya Watanzania wenzake kutoka karibu kona zote za Tanzania kuanzisha chama pale Kisutu. Ni mtu aliyekubalika na Watanzania wenzake wa wakati huo, akaweka mchango wa mawazo uliokubalika kikazaliwa chama makini. Nimetaja mchango wake katika Tume ya kubadili mfumo wetu wa kodi kuleta huu tunaoutumia sasa, nimetaja mchango wake katika bodi ya Kahawa hadi siku za hivi karibuni (sijui kama bado yupo humo wiki hii) na uasisi wake wa chama makini; lengo langu ni kufuta fikra zako potofu kuwa elimu yake imemsaidi yeye binafsi. Elimu yake imelisaidia taifa letu. Wasomi hufanya kazi ya kushauri. Kazi ya kushauri ameifanya vizuri katika maisha yake kwa faida ya Watanzania wote.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.

Yaani mamenno unayoandika unakubali moja kwa moja kuwa Mtei mchango wake kwenye kupigania uhuru ni SIFURI.

Unaongelea mambo ya Serikali ya Mwinyi wakati swala hapa ni mchango wa Mtei kwenye harakati za kupigania Uhuru.

Hizo kazi unazosema ni AJIRA. Mtei aliajiriwa na alilipwa pesa stahiki.

Kusema kuwa mchango wa wasomi ni consultancy hivi Mwalimu Nyerere hakuwa msomi? Je angezubaa kwenye mambo ya kitaifa kama Mtei nchi ingekuwa wapi?

Historia sio siri. Kama kuna jambo Mtei alilifanya kwa kujitolea ili kuifanya Tanganyika iwe huru litaje hapa.

Hivi wewe ukiwa dereva wa Hiace halafu ukaipeleka Hiace garage unaweza kujivunia kuwa umempa mwenye Hiace msaada? Hizo kazi unazotaja zilikuwa ajira na Mtei tulimlipa, hakujitolea. Ni AIBU kwa kijana wa enzi za kupigania Uhuru tena kijana msomi kuwa na historia TUPU kama ya Mtei.

Shughuli za TANU zilifanywa na watu ambao hawajui hata kusoma vizuri, lakini vijana wasomi kama Mtei walikuwepo ila walijiweka pembeni na harakati za TANU. Uhuru ulipopatikana tu wakajitokeza kuchukua "shavu". Usomi wa namna hii ni ubinafsi ambao Mtei mwenyewe sasa hivi hawezi kujivunia.

Chama kilichoanzishwa na mtu wa namna ya Mtei hakiwezi kuwa na lengo la kuwanufaisha watanzania wote kwa usawa. Ili chadema iwe na malengo mema kwa watanzania ni LAZIMA itoke mikononi mwa mbinafsi Mtei.
 
Mungu wangu eee...bado unaendelea kujichanganya. Wasomi mchango wao huo ni wa mawazo. Siku hizi wanaita consultancy. Michango ya aina hii huwezi kuonesha rundo la kazi kama fundi seremala anavyoweza kuonesha rundo la maranda ujue kafanya kazi. Mtei hana rundo la Maranda kuonesha kafanya lipi. Lakini pamoja na kazi yake kuwa ya kitaalam, bado naweza kukuonesha kitu kafanya.

Hii kauli uliyoibandika hapa ni ya uongo: Kwamba "usomi wake alihakikisha unamfaa yeye tu." Design ya mfumo wa kodi mpya kafanya mtei na kamati yake wakati wa Mwinyi. Matunda yake tunayaona. Kwenye bodi ya Kahawa ameweka mawazo mazuri mengi kuboresha zao hili, likiwapo la matumizi ya miche ya kisasa, ambapo mawazo na mitizamo mingine anafundisha watu kwa matendo badala ya maneno au maandiko. Mtei analo shamba la kahawa la mfano watu wakajifunze kwake kwa matendo.

Wewe ZeMarcopolo hujui kitu kuhusu Mtei.

Chadema kilipoanza 1992/93 Mtei alikusanya Watanzania wenzake kutoka karibu kona zote za Tanzania kuanzisha chama pale Kisutu. Ni mtu aliyekubalika na Watanzania wenzake wa wakati huo, akaweka mchango wa mawazo uliokubalika kikazaliwa chama makini. Nimetaja mchango wake katika Tume ya kubadili mfumo wetu wa kodi kuleta huu tunaoutumia sasa, nimetaja mchango wake katika bodi ya Kahawa hadi siku za hivi karibuni (sijui kama bado yupo humo wiki hii) na uasisi wake wa chama makini; lengo langu ni kufuta fikra zako potofu kuwa elimu yake imemsaidi yeye binafsi. Elimu yake imelisaidia taifa letu. Wasomi hufanya kazi ya kushauri. Kazi ya kushauri ameifanya vizuri katika maisha yake kwa faida ya Watanzania wote.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.

Hivi wewe ungekuwa kijana kipindi nchi inapigania Uhuru usingejisikia aibu kusema kuwa mchango wako kwa taifa ni kuwa una shamba la kahawa?

Yaani ukose story hata moja ya jinsi ulivyoshiriki kuleta uhuru!!!
 
Mungu wangu eee...bado unaendelea kujichanganya. Wasomi mchango wao huo ni wa mawazo. Siku hizi wanaita consultancy. Michango ya aina hii huwezi kuonesha rundo la kazi kama fundi seremala anavyoweza kuonesha rundo la maranda ujue kafanya kazi. Mtei hana rundo la Maranda kuonesha kafanya lipi. Lakini pamoja na kazi yake kuwa ya kitaalam, bado naweza kukuonesha kitu kafanya.

Hii kauli uliyoibandika hapa ni ya uongo: Kwamba "usomi wake alihakikisha unamfaa yeye tu." Design ya mfumo wa kodi mpya kafanya mtei na kamati yake wakati wa Mwinyi. Matunda yake tunayaona. Kwenye bodi ya Kahawa ameweka mawazo mazuri mengi kuboresha zao hili, likiwapo la matumizi ya miche ya kisasa, ambapo mawazo na mitizamo mingine anafundisha watu kwa matendo badala ya maneno au maandiko. Mtei analo shamba la kahawa la mfano watu wakajifunze kwake kwa matendo.

Wewe ZeMarcopolo hujui kitu kuhusu Mtei.

Chadema kilipoanza 1992/93 Mtei alikusanya Watanzania wenzake kutoka karibu kona zote za Tanzania kuanzisha chama pale Kisutu. Ni mtu aliyekubalika na Watanzania wenzake wa wakati huo, akaweka mchango wa mawazo uliokubalika kikazaliwa chama makini. Nimetaja mchango wake katika Tume ya kubadili mfumo wetu wa kodi kuleta huu tunaoutumia sasa, nimetaja mchango wake katika bodi ya Kahawa hadi siku za hivi karibuni (sijui kama bado yupo humo wiki hii) na uasisi wake wa chama makini; lengo langu ni kufuta fikra zako potofu kuwa elimu yake imemsaidi yeye binafsi. Elimu yake imelisaidia taifa letu. Wasomi hufanya kazi ya kushauri. Kazi ya kushauri ameifanya vizuri katika maisha yake kwa faida ya Watanzania wote.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.

Ni kweli kuwa lipo kundi dogo la marafiki wa Mtei waliomkubali, lakini Mtei hajawahi kuwa na sifa ya kukubalika kitaifa. Hata hivyo, kitu cha msingi unachotakiwa kujiuliza ni malengo ya kuanzisha chadema.

Jiulize mtu ambaye aliona kupigania Uhuru ni kero, lakini leo anaanzisha chama cha siasa. je mtu huyu anadhamiria kuwafanyia nini watanzania kupitia cham hicho?

Huyu ni mtu ambaye kila alilofanya alitaka alipwe pesa za kutosha na pesa ilipokosekana aliingia mitini. Lakini anatumia pesa zake kuijenga chadema na anafanya maamuzi yote mwenyewe. Yeye ndiye anaamua nani awe mwenyekiti na nafasi za juu za viongozi. Je, mtu huyu na chama chake ana malengo gani?

Msikimbilie tu ngoma, mtajikuta mmepotea...
 
Najua Mtei ametunza siri nyingi sana za taifa hili. Hakuna uzalendo mkubwa kushinda hulka hiyo. Wewe niambie ukosefu wa uzalendo katika maisha ya Mtanzania huyu anaoujua.
Mbaya zaidi hajatuambia wananchi kwa uwazi/mbele ya watu msimamo wake/CHADEMA kuhusu Azimio la Arusha.
 
Mbaya zaidi hajatuambia wananchi kwa uwazi/mbele ya watu msimamo wake/CHADEMA kuhusu Azimio la Arusha.

Bepari na Azimio la Arusha!

Hawa vijana wanafuata mkumbo huko chadema hawajui chadema inapigania daraja gani. Mtu anatoka familia masikini eti na yeye shabiki wa chadema. hahahahahahaha
 
Mbaya zaidi hajatuambia wananchi kwa uwazi/mbele ya watu msimamo wake/CHADEMA kuhusu Azimio la Arusha.
Uzi hauhusu Edwin Mtei wala Nyerere. Uzi unahusu ahadi 10 za TANU na hali ya sasa. Mbona mnamjadili Mzee Mtei? Mnapotosha!
 
Mtei wakati akiwa Mkurugenzi wa IMF badala ya kuisaidia Tanzania, badala yake alituuzia poisonous policy ambazo aliziratibu na IMF ambazo ziliuua nyanja karibia zote za kiuchumi nchini.
 
Yaani mamenno unayoandika unakubali moja kwa moja kuwa Mtei mchango wake kwenye kupigania uhuru ni SIFURI.

Unaongelea mambo ya Serikali ya Mwinyi wakati swala hapa ni mchango wa Mtei kwenye harakati za kupigania Uhuru.

Hizo kazi unazosema ni AJIRA. Mtei aliajiriwa na alilipwa pesa stahiki.

Kusema kuwa mchango wa wasomi ni consultancy hivi Mwalimu Nyerere hakuwa msomi? Je angezubaa kwenye mambo ya kitaifa kama Mtei nchi ingekuwa wapi?

Historia sio siri. Kama kuna jambo Mtei alilifanya kwa kujitolea ili kuifanya Tanganyika iwe huru litaje hapa.

Hivi wewe ukiwa dereva wa Hiace halafu ukaipeleka Hiace garage unaweza kujivunia kuwa umempa mwenye Hiace msaada? Hizo kazi unazotaja zilikuwa ajira na Mtei tulimlipa, hakujitolea. Ni AIBU kwa kijana wa enzi za kupigania Uhuru tena kijana msomi kuwa na historia TUPU kama ya Mtei.

Shughuli za TANU zilifanywa na watu ambao hawajui hata kusoma vizuri, lakini vijana wasomi kama Mtei walikuwepo ila walijiweka pembeni na harakati za TANU. Uhuru ulipopatikana tu wakajitokeza kuchukua "shavu". Usomi wa namna hii ni ubinafsi ambao Mtei mwenyewe sasa hivi hawezi kujivunia.

Chama kilichoanzishwa na mtu wa namna ya Mtei hakiwezi kuwa na lengo la kuwanufaisha watanzania wote kwa usawa. Ili chadema iwe na malengo mema kwa watanzania ni LAZIMA itoke mikononi mwa mbinafsi Mtei.

Afrika ya Kusini inaongozwa na ANC. Mule ndani ya ANC kuna watu wengi sana. Nataka kutolea mfano ANC kwa sababu kilikuwa chama cha wapigania uhuru kama ilivyokuwa TANU. Mimi na wewe ZeMarcopolo tunajua kwamba makada wa ANC waligawana kazi wakati wa Uhuru. Kitengo cha Mkonto Wesizwe kilikuwa na idara za Propaganda, idara ya active warfare ndani na nje ya RSA, na idara nyingine ambazo siwezi kuzijua kwa uhakika. Naamini katika ANC walikuwapo watu pia katika masuala ya Mipango, Uchumi na Siasa. Palikuwa na umuhimu wa kutengeza Serikali nje ya Serikali kwa karibu idara zote muhimu.

TANU kilikuwa chama makini. Huwezi kuilinganisha TANU na hiki chama chenu cha mafisadi kinaitwa CCM. Vipaji vilitambuliwa mapema na watu wakapangiwa nafasi za kushika. Mtei hana kipaji cha kusimama majukwaani ukamuona akipanga hotuba kama Nyerere au Tundu Lisu. Wanzio watu wa TANU walijua nafasi ya Mtei ni nafasi ya utendani katika Serikali. Usingeweza kumwona hadi kazi yake ilipuwa tayari. Kwa maana hii naamini alitumia muda wake mwingi kuongeza elimu ije kulifaa taifa, na kweli elimu yake imelifaa sana taifa hili.

Kuna watu katika ANC ulikuwa huwezi kujua wapo hadi baada ya Kaburu kuachia ngazi. Wewe ZeMarcoPolo Ulijua Ramaphosa yupo wakati wa ANC kugombe uhuru? Kama unasema ukweli naamini utakuwa uliwajua tu kina FRank Chikane, Winnie Mandela, Nelson Mandela na wanamajukwaa wengine. Zungumza kama mtu mwenye elimu ZeMarcopolo bwana, usiandike post kama unapost kutoka kwenye vijiwe vya gahwa. Kuna watu walikuwapo wakati wa harakati za uhuru na usingewajua wapo kwa sababu si watu wa majukwaa.

Nikisema Edwin Mtei alikuwa bussy kusomea fani yake wakati wa harakati za uhuru ili elimu hiyo ije kutufaa baadaye utaniambia nini? Mtei alimaliza masomo yake mwaka gani? Wewe ZeMarcopolo unajua?
 
Mungu wangu eee...bado unaendelea kujichanganya. Wasomi mchango wao huo ni wa mawazo. Siku hizi wanaita consultancy. Michango ya aina hii huwezi kuonesha rundo la kazi kama fundi seremala anavyoweza kuonesha rundo la maranda ujue kafanya kazi. Mtei hana rundo la Maranda kuonesha kafanya lipi. Lakini pamoja na kazi yake kuwa ya kitaalam, bado naweza kukuonesha kitu kafanya.

Hii kauli uliyoibandika hapa ni ya uongo: Kwamba "usomi wake alihakikisha unamfaa yeye tu." Design ya mfumo wa kodi mpya kafanya mtei na kamati yake wakati wa Mwinyi. Matunda yake tunayaona. Kwenye bodi ya Kahawa ameweka mawazo mazuri mengi kuboresha zao hili, likiwapo la matumizi ya miche ya kisasa, ambapo mawazo na mitizamo mingine anafundisha watu kwa matendo badala ya maneno au maandiko. Mtei analo shamba la kahawa la mfano watu wakajifunze kwake kwa matendo.

Wewe ZeMarcopolo hujui kitu kuhusu Mtei.

Chadema kilipoanza 1992/93 Mtei alikusanya Watanzania wenzake kutoka karibu kona zote za Tanzania kuanzisha chama pale Kisutu. Ni mtu aliyekubalika na Watanzania wenzake wa wakati huo, akaweka mchango wa mawazo uliokubalika kikazaliwa chama makini. Nimetaja mchango wake katika Tume ya kubadili mfumo wetu wa kodi kuleta huu tunaoutumia sasa, nimetaja mchango wake katika bodi ya Kahawa hadi siku za hivi karibuni (sijui kama bado yupo humo wiki hii) na uasisi wake wa chama makini; lengo langu ni kufuta fikra zako potofu kuwa elimu yake imemsaidi yeye binafsi. Elimu yake imelisaidia taifa letu. Wasomi hufanya kazi ya kushauri. Kazi ya kushauri ameifanya vizuri katika maisha yake kwa faida ya Watanzania wote.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.

Na kama yeye kazi yake imekuwa kushauri tu kwanini mwaka 1992 alianzisha chama? Si angekuwa mshauri tu, mbona aliingia front in person? Consultant anakuwaga mwenyekiti wa chama?

Kwahiyo hapa kinachoonekana ni kwamba Mtei ni mbinafsi na alitaka chama chake binafsi na sio TANU. Ndio maana alijitenga na harakati za TANU za kupigania uhuru.
 
Afrika ya Kusini inaongozwa na ANC. Mule ndani ya ANC kuna watu wengi sana. Nataka kutolea mfano ANC kwa sababu kilikuwa chama cha wapigania uhuru kama ilivyokuwa TANU. Mimi na wewe ZeMarcopolo tunajua kwamba makada wa ANC waligawana kazi wakati wa Uhuru. Kitengo cha Mkonto Wesizwe kilikuwa na idara za Propaganda, idara ya active warfare ndani na nje ya RSA, na idara nyingine ambazo siwezi kuzijua kwa uhakika. Naamini katika ANC walikuwapo watu pia katika masuala ya Mipango, Uchumi na Siasa. Palikuwa na umuhimu wa kutengeza Serikali nje ya Serikali kwa karibu idara zote muhimu.

TANU kilikuwa chama makini. Huwezi kuilinganisha TANU na hiki chama chenu cha mafisadi kinaitwa CCM. Vipaji vilitambuliwa mapema na watu wakapangiwa nafasi za kushika. Mtei hana kipaji cha kusimama majukwaani ukamuona akipanga hotuba kama Nyerere au Tundu Lisu. Wanzio watu wa TANU walijua nafasi ya Mtei ni nafasi ya utendani katika Serikali. Usingeweza kumwona hadi kazi yake ilipuwa tayari. Kwa maana hii naamini alitumia muda wake mwingi kuongeza elimu ije kulifaa taifa, na kweli elimu yake imelifaa sana taifa hili.

Kuna watu katika ANC ulikuwa huwezi kujua wapo hadi baada ya Kaburu kuachia ngazi. Wewe ZeMarcoPolo Ulijua Ramaphosa yupo wakati wa ANC kugombe uhuru? Kama unasema ukweli naamini utakuwa uliwajua tu kina FRank Chikane, Winnie Mandela, Nelson Mandela na wanamajukwaa wengine. Zungumza kama mtu mwenye elimu ZeMarcopolo bwana, usiandike post kama unapost kutoka kwenye vijiwe vya gahwa. Kuna watu walikuwapo wakati wa harakati za uhuru na usingewajua wapo kwa sababu si watu wa majukwaa.

Nikisema Edwin Mtei alikuwa bussy kusomea fani yake wakati wa harakati za uhuru ili elimu hiyo ije kutufaa baadaye utaniambia nini? Mtei alimaliza masomo yake mwaka gani? Wewe ZeMarcopolo unajua?

Hahahahahahahahahhaha very funny...

Kwahiyo mchango wa Mtei katika kupigania Uhuru ni kusoma!!!!!!!!!!! na baada ya kusoma akaajiriwa na serikali ya mkoloni.Labda hujui kuwa Mtei aliajiriwa na serikali ya mkoloni mwaka 1959 wakati harakati za kupigania Uhuru za TANU zimepamba moto. Yeye alikuwa busy kumtumikia mkoloni, hakushiriki hata kidogo kwenye kuleta Uhuru.

Naona umechange position. Mwanzo ulisema mchango wake ni ushauri, sasa unasema mchango wake ni kujisomea.

Huyu ndio Mtei ambaye anawahamasisha vijana wa vyuo vikuu washiriki M4C "mpaka kieleweke" lakini yeye hakushiriki kupigania Uhuru kwa sababu alikuwa busy na masomo yake. Hivi Uhuru na M4C kipi muhumu zaidi?
 
Uzi hauhusu Edwin Mtei wala Nyerere. Uzi unahusu ahadi 10 za TANU na hali ya sasa. Mbona mnamjadili Mzee Mtei? Mnapotosha!
Hakuna kitu kinachopotoswa hapa. Huo opotoshaji mwambie huyu aliyeleta thread inayosema Ahadi 10 za TANU ni tunu iliyowashinda wanaCCM.

Uzi pamoja na kuwa hauna mantiki yoyote ya maana lakini pia anatutaka tuongelee watu.

 
Wakuu ZeMarcopolo, MwanaDiwani, mshunami, cabhatica, Mohamedi Mtoi, Sumu,mmoja wetu amekumbushia jambo muhimu; kwamba mada ni hii. naomba niwaulize hawa ndugu watatu: ZeMarcopolo, MwanaDiwani,Sumu, chama chenu CCM kimetekeleza kwa kiasi gani ahadi hizi tatu:

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

Mnadhani wameweza kwa kiasi gani kuzifuata hizi?





Wakuu
Hizi ni ahadi kumi (10) za TANU ambazo zinatumiwa na wana ccm na bado wanajivunia kuwa nazo

1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja.

2. Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

6. Nitajielimisha kwa kadiri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote.

7. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu.

8. Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.

9. Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa TANU na raia mwema wa Tanganyikana
Afrika.

10. Nitakuwa mtiifu na mwaminifu kwa Rais wa Serikali ya Tanganyika.

Ahadi hizi zingetekelezwa hata kwa asilimia kumi (10%) tu, naamini Tanzania ingekuwa mbali sana.

ANGALIA ZINAVYO VUNJWA.

Hapa ni mnyambulisho wa uhalisia wa kinachofanyika sasa. Ni mawazo ya nguli Mobhare Matinyi.

1.
Binadamu wote ni ndugu zangu
na Afrika ni
moja...............hapana, angalia
dini kwanza.

2.
Nitaitumikia nchi yangu na watu
wake wote..... nitaitumikia
familia yangu na washikaji
zangu wote.

3.
Nitajitolea nafsi yangu kuondoa
umaskini, ujinga, magonjwa na
dhuluma..........................kuondoa
maadili yote ya taifa hili.

4.
Rushwa ni adui wa haki.
Sitapokea wala kutoa
rushwa..............rushwa ni
sehemu ya maisha, nitapokea
na kutoa kila ninapopata nafasi.

5.
Cheo ni dhamana. Sitakitumia
cheo changu wala cha mtu
mwingine
kwa faida yangu..............Cheo ni
ulaji; watanikoma.

6.
Nitajielimisha kwa kadiri ya
uwezo wangu na kutumia elimu
yangu
kwa faida ya
wote.....................nitaiba vyeti
na kugushi majina.

7.
Nitashirikiana na wenzangu
wote kuijenga nchi
yetu................nitashirikiana na
wageni kuibomoa nchi.

8.
Nitasema kweli daima, fitina
kwangu mwiko......nitasema
uongo, nitakuwa mfitini,
nitapenda majungu, na nitakuwa
mzushi.

9.
Nitakuwa mwanachama
mwaminifu wa TANU na raia
mwema wa Tanganyika na
Afrika.....................nitakuwa
mwanachama mwaminifu wa
makundi ya mafisadi na raia
mwizi.

10.
Nitakuwa mtiifu na mwaminifu
kwa Rais wa Serikali ya
Tanganyika..............................nitakuwa
mtiifu kwa wanaonihonga.

Maskini nchi yetu! Tuipiganie
sasa!

Sent from my BlackBerry 9860 using JamiiForums.
 
Wakuu ZeMarcopolo, MwanaDiwani, mshunami, cabhatica, Mohamedi Mtoi, Sumu,mmoja wetu amekumbushia jambo muhimu; kwamba mada ni hii. naomba niwaulize hawa ndugu watatu: ZeMarcopolo, MwanaDiwani,Sumu, chama chenu CCM kimetekeleza kwa kiasi gani ahadi hizi tatu:

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

Mnadhani wameweza kwa kiasi gani kuzifuata hizi?

Kwahiyo umeshakubali kuwa kanuni hizo muasisi wa chadema haziungi mkono. Kwa nyongeza tu, muasisi wa chadema haungi mkono hata Azimio la Arusha.

Sasa nyinyi wanachama wa chadema kwanini mnakumbatia misingi ya TANU inayopigwa vita na muasisi wa chama mnachokishabikia?

Mantiki ya kumuingiza Mtei kwenye mjadala ni kwamba mleta mada ni mwanaharakati wa chadema. Lakini anaonekana kuipenda misingi ya TANU. Hii inaonyesha hajui nini nachotaka kwa sababu misingi ya TANU haipo ndani ya chadema. Misingi ya TANU pamoja na ASP imerithiwa na mtoto CCM.

Huko chadema hakuna msingi wowote zaidi ya biashara za Mtei.
 
Bepari na Azimio la Arusha!

Hawa vijana wanafuata mkumbo huko chadema hawajui chadema inapigania daraja gani. Mtu anatoka familia masikini eti na yeye shabiki wa chadema. hahahahahahaha
Kuna watu wanashangaza sana. Siyo tatizo lao kwa sababu wamekuwa ni kondoo wanaopelekwa kwenye machingio bila kujijua ili wajiulize maswali magumu. Wengi wao hata hawajaisoma katiba ya CHADEMA achilia mbali historia za viongozi wake na misimamo yao katika maswala ya kibinafsi na kitaifa.
 
Hahahahahahahahahhaha very funny...

Kwahiyo mchango wa Mtei katika kupigania Uhuru ni kusoma!!!!!!!!!!! na baada ya kusoma akaajiriwa na serikali ya mkoloni.Labda hujui kuwa Mtei aliajiriwa na serikali ya mkoloni mwaka 1959 wakati harakati za kupigania Uhuru za TANU zimepamba moto. Yeye alikuwa busy kumtumikia mkoloni, hakushiriki hata kidogo kwenye kuleta Uhuru.

Naona umechange position. Mwanzo ulisema mchango wake ni ushauri, sasa unasema mchango wake ni kujisomea.

Huyu ndio Mtei ambaye anawahamasisha vijana wa vyuo vikuu washiriki M4C "mpaka kieleweke" lakini yeye hakushiriki kupigania Uhuru kwa sababu alikuwa busy na masomo yake. Hivi Uhuru na M4C kipi muhumu zaidi?

Ebo wewe unamjua Mtei tu? Mwenzio namjua hadi Afande Mgema wa Makao Makuu ya Polisi ambaye aliajiriwa na mkoloni afanye kazi ya Upolisi mwaka 1954. Kumbe wakoloni walikuwa wanaandaa Tanganyika kuwa huru kwa kuanza kuwapa mafunzo wazawa kushika dola katika nafasi mbalimbali.

Mtei alishajulikana alikuwa na kipaji gani. Mtei ni Mtawala. Watu wa aina yake huwaga hawapigi makelele majukwaani. Hiyo ni kazi ya viongozi. Watu kama Afande Mgema na Mtei walikuwa ni maandalizi ya kuipa Tanganyika Uhuru. Na watu wa aina hiyo walikuwa wengi katika kada mbalimbali. Katika management hiyo inaitwa Succession Plan Implementation kama ulikuwa hujui. Succession planning ndiyo hulazimisha mtu wa utawala unaokuja kupewa nafasi kabla ya utawala wake kuja ili kuweka transition kati ya utawala wa awali na mpya unaokuja. Bado hujanijibu Mtei alimaliza masomo yake lini? We si unajifanya unamjua sana Mtei. Hebu nambie alimaliza masomo yake lini.

Angalizo hapo ni Succession Plan Implementation. Mtei alianza kuitumikia Tanganyika huru mwaka 1959.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.
 
Kwahiyo umeshakubali kuwa kanuni hizo muasisi wa chadema haziungi mkono. Kwa nyongeza tu, muasisi wa chadema haungi mkono hata Azimio la Arusha.

Sasa nyinyi wanachama wa chadema kwanini mnakumbatia misingi ya TANU inayopigwa vita na muasisi wa chama mnachokishabikia?

Mantiki ya kumuingiza Mtei kwenye mjadala ni kwamba mleta mada ni mwanaharakati wa chadema. Lakini anaonekana kuipenda misingi ya TANU. Hii inaonyesha hajui nini nachotaka kwa sababu misingi ya TANU haipo ndani ya chadema. Misingi ya TANU pamoja na ASP imerithiwa na mtoto CCM.

Huko chadema hakuna msingi wowote zaidi ya biashara za Mtei.


chama chenu CCM kimetekeleza kwa kiasi gani ahadi hizi tatu:

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

Mnadhani wameweza kwa kiasi gani kuzifuata hizi?
 
Ebo wewe unamjua Mtei tu? Mwenzio namjua hadi Afande Mgema wa Makao Makuu ya Polisi ambaye aliajiriwa na mkoloni afanye kazi ya Upolisi mwaka 1954. Kumbe wakoloni walikuwa wanaandaa Tanganyika kuwa huru kwa kuanza kuwapa mafunzo wazawa kushika dola katika nafasi mbalimbali.

Mtei alishajulikana alikuwa na kipaji gani. Mtei ni Mtawala. Watu wa aina yake huwaga hawapigi makelele majukwaani.
Hiyo ni kazi ya viongozi. Watu kama Afande Mgema na Mtei walikuwa ni maandalizi ya kuipa Tanganyika Uhuru. Na watu wa aina hiyo walikuwa wengi katika kada mbalimbali. Katika management hiyo inaitwa Succession Plan Implementation kama ulikuwa hujui. Succession planning ndiyo hulazimisha mtu wa utawala unaokuja kupewa nafasi kabla ya utawala wake kuja ili kuweka transition kati ya utawala wa awali na mpya unaokuja. Bado hujanijibu Mtei alimaliza masomo yake lini? We si unajifanya unamjua sana Mtei. Hebu nambie alimaliza masomo yake lini.

Angalizo hapo ni Succession Plan Implementation. Mtei alianza kuitumikia Tanganyika huru mwaka 1959.

Kajipange vizuri urudi kubishana na mimi.

Kwahiyo alipokuwa mwenyekiti wa chadema ndio kipaji kipya cha uzeeni kilianza? Cha kushiriki shughuli za siasa?

Je, vijana wa vyuo wanaohamasishwa na Mtei kushiriki M4C hawalaghaiwi na mtu ambaye wakati yeye yuko chuo alikacha harakati za Uhuru?

Wajinga ndio waliwao...
 
Wakuu ZeMarcopolo, MwanaDiwani, mshunami, cabhatica, Mohamedi Mtoi, Sumu,mmoja wetu amekumbushia jambo muhimu; kwamba mada ni hii. naomba niwaulize hawa ndugu watatu: ZeMarcopolo, MwanaDiwani,Sumu, chama chenu CCM kimetekeleza kwa kiasi gani ahadi hizi tatu:

3. Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.

4. Rushwa ni adui wa haki. Sitapokea wala kutoa rushwa.

5. Cheo ni dhamana. Sitakitumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.

Mnadhani wameweza kwa kiasi gani kuzifuata hizi?
Ndio sababu kwa nini wanapotosha mantiki ya uzi huu kwani hiyo ni rungu kwa CCM. Je, CCM wanaweza kusema kuwa wao ni warithi wa TANU au wao ni chama kingine? Kwa tathmini ya sasa ahadi hizo utekelezaji wake kwa sasa kama tukiamua kuwa wakweli ni sufuri. Mfano rahisi - Adui ujinga, angalia mgogoro wa matokeo ya kidato cha 4 yaliyopita. Sitaki kusema imaskini kwa kuwa kila mmoja anauona. Rushwa hata Makamu mwenyekiyi wa CCM alikuwa ameahidi kuwa miezi 6 baada ya uchaguzi wa NEC atabatilisha baadhi ya matokeo. Nadhani ameshindwa kwani karibu uchaguzi wote rushwa ilitembea. Kutumia cheo kwa manufaa binafsi ngoja niiache maana sitakimkujadili watu ila kumbuka chanzo cha falsafa iliyoshindwa ya kujivua gamba. CCM sio chama mrithi wa TANU, bali hiki ni chama cha mafisadi.
 
Kuna watu wanashangaza sana. Siyo tatizo lao kwa sababu wamekuwa ni kondoo wanaopelekwa kwenye machingio bila kujijua ili wajiulize maswali magumu. Wengi wao hata hawajaisoma katiba ya CHADEMA achilia mbali historia za viongozi wake na misimamo yao katika maswala ya kibinafsi na kitaifa.

Tatizo lao wanaamini kila linalosemwa jukwaani. Hawajui kuwa tenda zote za chadema zimechukuliwa na Mtei ili kuanza kufidia gharama alizotumia kuanzisha chama. Biashara imeanza kulipa. Mtei hajawahi kufanya kitu bila kulipwa.

Ndio maana hata wazo la Dr. Slaa kutaka ahakikishiwe mshahara wa mamilioni akishindwa uchaguzi limepewa nafasi. Mwalimu asingesikiliza upuuzi kama huo. Slaa angechapwa bakora iwapo mawazo yake ya kutaka kulipwa akishindwa yangefikishwa mezani kwa Mwalimu. Ila Mtei anaelewa business. Yeye ni mtu wa nipe nikupe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom