Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,898
AHADI KUMI ZA MWANATANU
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Dunia ni moja.
2.Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma.
3.Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini,ujinga,maradhi na dhuluma hapa nchini na duniani pote,
4.RUSHWA ni adui wa HAKI, SITATOA wala KUPOKEA RUSHWA,
5.cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu,
6.Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu na dunia yenye haki na amani,
8.Nitasema kweli daima,fitina kwangu mwisho,
9.Nitakuwa raia mwema wa Tanzania,Afrika na Dunia nzima,
10.Nitakuwa mtii kwa rais na serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
11.Usiwe na hisa katika kampuni
12. Usiwe na nyumba ya kupangisha au mishahara miwili.
Huu ndio mjadala nawaletea tujadili zitto,anaweza?,
1. Binadamu wote ni ndugu zangu na Dunia ni moja.
2.Nitaitumikia nchi yangu na binadamu wenzangu wote kwa unyenyekevu na moyo wa upendo na huruma.
3.Nitajitolea nafsi yangu kuondoa umaskini,ujinga,maradhi na dhuluma hapa nchini na duniani pote,
4.RUSHWA ni adui wa HAKI, SITATOA wala KUPOKEA RUSHWA,
5.cheo ni dhamana,sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu,
6.Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
7. Nitashirikiana na wenzangu wote kuijenga nchi yetu na dunia yenye haki na amani,
8.Nitasema kweli daima,fitina kwangu mwisho,
9.Nitakuwa raia mwema wa Tanzania,Afrika na Dunia nzima,
10.Nitakuwa mtii kwa rais na serikali ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania,
11.Usiwe na hisa katika kampuni
12. Usiwe na nyumba ya kupangisha au mishahara miwili.
Huu ndio mjadala nawaletea tujadili zitto,anaweza?,