kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,751
- 595
-Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja??????? -Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kutumia elimu yangu kwa faida ya wote????? KWELI MWANATANU KATUPWA KAPUNI.
binadamu wote ni sawa kila mtu aheshimiwe.
ashiriki sawa katika ujenzi wa taifa.