Huyu mtu Kila anapokaa anatia alama,ni Mtendaji haswa nakumbuka enzi hizo akiwa waziri TAMISEMI alikuwa anaitwa encyclopedia ya bunge alikuwa hakosi majibu sabu ni mfuatiliaji na msimamizi na mtekelezaji.Wana Siha huyu mtu sahihi kabisa mrudisheni tena
Ukienda Tabora imekuwa Toronto na wanyamwezi wanamkumbuka sana,barabara za lami kila Kona,amefungua by pass mbili Tabora inapumua tu pita kaskazini au kusini kote supa Nyerere,mataa yapo,hali ya hewa kwa sasa Tabora ni baridi kama upo huku njombe.
Hongera kwa kuchukua form na kuwa na shauku ya kuwatumikia wananchi Ili kukitendea haki kipawa ulichopewa na Mungu
Mungu akubariki sana
Ukienda Tabora imekuwa Toronto na wanyamwezi wanamkumbuka sana,barabara za lami kila Kona,amefungua by pass mbili Tabora inapumua tu pita kaskazini au kusini kote supa Nyerere,mataa yapo,hali ya hewa kwa sasa Tabora ni baridi kama upo huku njombe.
Hongera kwa kuchukua form na kuwa na shauku ya kuwatumikia wananchi Ili kukitendea haki kipawa ulichopewa na Mungu
Mungu akubariki sana