GE2025 Agosti 9, 2025: Rais Samia achukua fomu ya urais

GE2025 Agosti 9, 2025: Rais Samia achukua fomu ya urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

DuaZaMama

JF-Expert Member
Joined
Jun 2, 2025
Posts
1,882
Reaction score
4,129
Chama cha Mapinduzi kesho, Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk.Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dk.Emmanuel Nchimbi, wanaenda kuchukua fomu...kwenye Tume Huru Ya Uchaguzi Dodoma"- Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla

 
Rais Samia Suluhu Hassan pamoja na Mgombea Mwenza, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, kesho wataenda Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) kuchukua fomu za kugombea urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29 mwaka huu kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Hayo yamebainishwa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo, Amos Makalla, alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dodoma leo.

Makalla amesema kuwa baada ya kuchukua fomu, viongozi hao watakwenda Makao Makuu ya CCM kukutana na wanachama kwa ajili ya kusalimiana na kuzungumza.

Aidha, amesisitiza kuwa kutokana na kuwapo kwa ilani bora na wagombea wenye sifa, watanzania watawaelewa na kuwaunga mkono.
 
Chama cha Mapinduzi kesho, Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk.Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dk.Emmanuel Nchimbi, wanaenda kuchukua fomu...kwenye Tume Huru Ya Uchaguzi Dodoma"- Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla

Polepole kashamwambia ESIESIECHI asichukue form kesho ,akichukua ataenda KUPIGA Kwenye mshono na kupoteana.
 
Chama cha Mapinduzi kesho, Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk.Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dk.Emmanuel Nchimbi, wanaenda kuchukua fomu...kwenye Tume Huru Ya Uchaguzi Dodoma"- Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla

Naliona ANGUKO lake
 
Chama cha Mapinduzi kesho, Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Dk.Samia Suluhu Hassan na Mgombea Mwenza Dk.Emmanuel Nchimbi, wanaenda kuchukua fomu...kwenye Tume Huru Ya Uchaguzi Dodoma"- Katibu wa Halmashauri Kuu (NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM, CPA Amos Makalla

Upuuzi tupu.

Ghiriba za kisiasa hazina nafasi katika Ulimwengu huu wa Sasa.


Ukweli mchungu Sana ni kwamba, hawa Watu wote wawili hawana kabisa mvuto wa kisiasa katika nchi hii.
 
Back
Top Bottom