mtoto nshapiga ukimla 0713 anakupenda akuachi na anjua kupenda na anapenda sana 0713 yawezekana kweli.
polisi hawajamkamata?
Sitaki kuamini kuwa alitaka kujiua kwa sababu ya mwanaume kwa kuwa ameshakuwa sugu wa mapenzi huyo, ila sasa nadhani kuna ile ishu inayosambaa mitaani ndiyo inayomtia hofu....
kwa sababu ya videa yake ya utupu?(actually sio utupu amevyaa pichu) ingawa udaku kutoka dartalk unadai kuna video akiduu?
alikuwa anataka kuweka headlines tu kwenye tabloids/udaku-kama angekuwa anamaanisha anachofanya asingepiga simu-pumba$%%v5U zakeMUUZA sura anayetamba kwenye video za Kibongo, Agness Jerald Masogange juzikati alinusurika kuaga dunia baada ya kuchanganya pombe na dawa aina ya Cephalaxin kutokana kuudhiwa na mpenzi, Risasi Jumamosi lina habari kamili.
Kwa mujibu wa rafiki wa karibu wa Masogange aitwaye Janneth asubuhi ya siku ya tukio, Agness alimpigia simu na kumtaka afike nyumbani kwake kwa kuwa tumbo lilikuwa likimsumbua.
Hata hivyo, Janneth alidhani rafiki yake huyo alikuwa akimtania, kwa kufikiria kuwa alikuwa akimtaka tu afike nyumbani kwake na hakuwa na tatizo lolote.
Jananeth alizidi kueleza kuwa baada ya muda alipigiwa tena simu na Agness huku akilia ndipo alipohisi kuwa kulikuwa na kitu, akaamua kukodi teski kwa ajili ya kumuwahi.
Nilipofika nyumbani kwake nilikuta amejifungia kwa ndani, hivyo ikabidi kuvunja mlango, nilipofanikiwa kuingia nilimkuta akiwa hoi, alisema Janneth.
Janneth alisema kuwa baada ya kuvunja mlango alimkuta Agness akiwa amelala karibu na chooni na pembeni yake kukiwa na chupa ya pombe na pakti ya dawa.
Nilikwenda dukani na kumnunulia maziwa na kumnywesha kwa kuwa nilihisi atakuwa amechanganya dawa na pombe, kisha nikamkimbiza katika Hospitali ya Mama Ngoma kwa ajili ya matibabu.
Ndio nani huyu? Tuwekeeni picha basi na sie tusiozifahamu video zake tumjue