Agizo la Serikali la kushusha riba za mikopo limeshaanza kutekelezwa?

Wasomba

JF-Expert Member
Dec 19, 2016
323
475
Kumekuwa na agizo la Serikali lililotolewa miezi michache iliyopita ya kuyataka mabenki kushusha riba ili kuongeza ukwasi mitaani. Naomba kufahamu kama agizo hilo limeshaanza kutekelezwa.
 
Back
Top Bottom