Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 8,189
- 11,618
kaa kwa kutulia bas acha kubwekabweka...Nitaish hapa hapa tu nimeshazoea mbwa kama nyie
kaa kwa kutulia bas acha kubwekabweka...Nitaish hapa hapa tu nimeshazoea mbwa kama nyie
Korea kusiniNchi gani Rais wake akiwa madarakani alishtakiwa na kufungwa? Moja!
Si walisema jimbo likiwa na mwanaccm kitapelekewa miradi ua maendeleo?
Nini kimetokea?
Mambo ni mengi,kule Duniani kulikoanzishwa local Government za ukweli Ili kuepuka na tatizo la uendeshaji wa Hamashauri zinafanyiwa tathimini za gharama za kuendesha Hamashauri,yaani Mfano Ili Hamashauri ya Wllaya ijiendedhe inatakiwa iwe na mapato ya bilioni Moja na milioni mia mbili,Sasa kwa zile Hamashauri zisizoweza kukusanya kiasi hicho zinapewa ruzuki na CentralGoverrnment(equalization grants).zinazokusanya zaidi kuvuka ndizo zinapewa top up grants.kama ulivyoeleza Hamashauri zetu zimeanzishwa tu,sio independent,Zina man power hafifu,bajeti zake sio releable,hesabu zake ni za mezani,majukumu yake ni mengi na yanachanganya kwasababu vyanzo vya mapato vinatofautiana kati ya Hamashauri na Hamashauri, wizi mwingi,hizo package/mifumo ya ukusanaji mapato ni dhaifu na vulnerable kwa kuwa inaweza kuchezewa bila ya administrator kutambua.kazi bado ipo sana.Juzi Mhe. Rais akiwaapisha Wateule wake alikemea sana wizi unaofanyika Serikalini na baadaye akasema kuwa kuanzia sasa Halmashauri zitapewa fedha kutoka Serikalini kutokana na makusanyo yake.
Mfano kama halmashauri itakusanya 50% basi Serikali itawapa pia 50%.. Agizo la Mhe. Rais ni amri lakini kwa ukweli uanzishwaji wa baadhi za Halmashauri hazikufuata vigezo na hivyo kupelekea kuwa na makusanyo madogo sana.
Tuchukue mfano wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda ambapo ilimegwa na kuanzishwa Halmashauri ya Mji wa Bunda na kupelekea mapato yake kupungua kwa kasi kubwa. Pato kubwa la Halmashauri ya Bunda ni samaki.
Kusema ukweli samaki katika Ziwa Victoria ni kama wamekwisha kabisa na hivyo Halmashauri ya Bunda ni mojawapo ya Halmashauri maskini katika nchi hii na hivyo tunamwomba Mhe. Rais kuwa utafiti wa agizo hili ufanyike kwanza ili kufikia uamuzi wa agizo alilolitoa.
Halmashauri kama Bunda, Rorya, Bumbuli n.k. zitaathirika sana. Mwisho, kuanzia sasa uanzishwaji wa Halmashauri ufuate vigezo vinavyotakiwa na siyo kwa tamaa za wachache kupata ubunge.
Wewe taja nchi Moja tu.TUmia akili zako japo kidogo bas, usijivue nguo bwana mdogo
Wewe taja nchi Moja tu.
Unaelewa unachoandika kweli?
- Uhuru na Ruto walishtakiwa wapi?
- kilichomtoa Jacob Zuma madarakani ni kipi?
Maliza homework ukojoe ukalale kesho uwahi shuleUnaelewa unachoandika kweli?
Ahahahahaha!!!Maliza homework ukojoe ukalale kesho uwahi shule
Rais Richard Nixon wa Marekani alishtakiwa katika scandal ya Watergate akalazimika kujiuzulu vinginevyo angefungwa. Mwingine ni Bill Clinton wa Marekani katika scandal ya ngono na mfanyakazi wa Ikulu Monica Lewinsky ingawa hakufungwa. Joe Biden pia alichunguzwa kwa kuwa na nyaraka za siri za Ikulu.Nchi gani Rais wake akiwa madarakani alishtakiwa na kufungwa? Moja!