Agizo la Magufuli laibua utata

Agizo la Magufuli laibua utata

Mmmh!! Hii nchi inamambo mengi sana! Marais watano wa chama kimoja ila sera na malengo ni tofauti kabisa as if niwapinzani. Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri!


LUMUMBA watakuja na matusi?
100% ni ukweli mtu-hakuna sera na kanuni ya maana ya kuisogeza mbele nchi ndani ya hawa jamaa wa kijani.
Umeona ya kuhamia Dodoma? Yako mengi ila ni mpaka walala hoi wengi watakapo elimika na hizi shule zetu za Kata-tuendelee na kusubiri.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Pole kwa ban,lakini kumbe ni yamuda mfupi tu.

I see,Mukulu sijui kwamba aliambiwa madhumuni ya kwanini kuna watumishi ambao hawajapitia mafunzo ya kijeshi au alidhani ilikosewa tu.

Katika somo la Physics,Chemistry,Biology, Geo uhandisi na Sayansi kwa ujumla huwa kuna maswali hojaji sana.Huwezi ukasema hii transformer katika redio ni ya kazi gani inafanya redio kuwa nzito kabla ya kujiuliza kwanini ipo pale.Sasa swali hojaji,kwanini ulipata ban,maana....
Nimekuelewa sanaaa....mkulu hataki kutumia........[emoji124] [emoji443] [emoji444] [emoji445]
 
Ukiongea ukweli wanasema ww ni nyumbu haya uzuri wote tunaisoma namba

Acheni tuisome mpaka tuielewe tukisha ielewa tutaamua wote kwa pamoja
 
Ha

Hapo hakuna siasa ni taratibu zilizowekwa kwa umakini wa hali ya juu sana.Hayo yote uliyocomment yaliangaliwa ila juwa kuwa kuna sababu za msingi kwa RAIA kufanya kazi Jeshini si Tanzania tu Hata huko nje iko hiyo.
Hakuna sbb zozote za msingi bali ni kwamba nafasi zimetokea mwenye sifa anaomba thats it, kama imeonekana wanafanya fujo watoks tu
 
Are you seriously talking of ethics?! Anyway, kukujibu swali lako, professionally there's no different!! Naamini ulitaka kujenga hoja... am waiting!
Why not? Kulipa kwa amri ya mdomo haimo katika ethics? Kwamba mjesh mhasibu alipe kwa amr ya mdomo ila mhasib raia ahoji? Kwamba hawafungwi na sheria zao za kiuhasibu?
 
Tofauti kubwa ni kuwa mhasibu mwanajeshi, kazi yake namba moja ni 'uanajeshi', uhasibu ni ziada. Kwa hiyo kimsingi, cha kwanza anatakiwa kutii sheria za kijeshi kabla ya taratibu za uhasibu. Kwa hiyo mhasibu mwanajeshi anaongozwa na ethics za kijeshi, mhasibu raia anaongozwa na ethics za kihasibu.

Ni sawa na kule Kanisa Katoliki, unaweza kuwa na mtawa mhasibu. Mtawa mhasibu, cha kwanza kinachotazamwa ni utawa wake na siyo uhasibu. Kwanza itabidi afuate kanuni za utawa, uhasibu baadaye. Na askofu anaweza kumwondoa mtawa mhasibu kwenye uhasibu bila kuhojiwa maana aliingia kwenye kanisa kwaajili ya utawa na siyo uhasibu.
Seriously? So wana bodi yao na wao?
 
Nani wa kumwambia mkuu ukweli,kila mtu ni mwoga na analinda ugali wake
 
Mmmh!! Hii nchi inamambo mengi sana! Marais watano wa chama kimoja ila sera na malengo ni tofauti kabisa as if niwapinzani. Tatizo ni kubwa kuliko tunavyofikiri!
Mkuu mawazo kama yangu,sipati picha kama hiki kijiti angekuwa kakipokea toka upinzani,upinzani ungenagwa sana na hili sijui lipo kwenye ilani yao au mtu anaweza kuamua kivyake tu?ila majibu ya athari za hilo atazipata.
 
  • Thanks
Reactions: ydn
Wewe ni mgumu wa kuelewa!! Nilichokuambia ni kwamba, wapo wengi tu wanaotii amri kwa ajili tu ya kumuogopa mwajiri wake lakini si kwa sababu anapata mgao au ameiba yeye mwenyewe! Kila mtu ana sababu yake. Sasa basi, miongoni mwa hizo sababu, mtu hana sababu ya kumuogopa huyu mwajiri wa kuazima kv sio mwajiri wake! Kwahiyo atamuogopa labda kwa sababu tu hajiamini na si vinginevyo... au labda kv amepata mgao wake! Ndio maana nikatoa hata mfano wa Internal Auditors. Internal Auditor hana sababu ya kuogopa kumtumbua DED wake kv sio mwajiri wake hata kama anatumia majengo yake! Akishindwa kumtumbua basi itakuwa ni kwa kutojiamini tu! Tofauti kama ingekuwa huyo DED ndo kakuajiri.

But all in all, hakuna nilipozungumzia suala la ufanisi! Ufanisi ni kitu kingine kabisa!
Unatoa mifano ambayo haiendani... kiethics auditors are suppossed to be an independent entity haitakiwi kuingiliwa na any organ zaidi ya kule auditor anaporipoti..huo ndio msingi wa kazi zao duniani kote siyo tu kwenye hzo halmashauri ulizotolea mfano...so usifananise uhasibu na uodita....wahasibu wawe ni askari but mahesabu yao yawe audited hapo ndiyo itapatikana solution ya kudumu...lakini siyo kutuchukulia watoto wao mitaani na kuwajaza jeshini..itz logic less..
 
Why not? Kulipa kwa amri ya mdomo haimo katika ethics? Kwamba mjesh mhasibu alipe kwa amr ya mdomo ila mhasib raia ahoji? Kwamba hawafungwi na sheria zao za kiuhasibu?
Mada hii tayari imejikita kwenye amri zisizo halali... kwahiyo suala la ethics hapo tayari limeshatupwa nje ya mjadala! Mimi sio Mhasibu na wala sina taaluma hiyo! But labda niongee as ex banker linapokuja suala la ethics na tunachozungumzia!

Kwanza, it doesn't matter ikiwa una nyota 7, 5, au 3!! Ukija benki kwa mfano, kisha ukaomba Bank Statement ya mkeo au mwanao nitakunyima so long as you're not a signatory wa account husika na hata power of attorney hauna! Ethics za kibenki zinanikataza kufanya unachotaka! And it doesn't matter hata kama 100% ya deposits za akaunti husika zinafanywa na wewe... SITAKUPA! Na wewe huwezi kunifanya chochote.

Kinyume chake, assume bank ya serikali wafanyakazi wa kiraia wameondolewa na kuletwa wafanyakazi maaskari! In no time, anakuja mjomba Mwamunyange hadi kaunta ambako kuna Sajenti wa JWTZ! Mjomba Mwamu anataka statement ya mkewe ingawaje yeye sio signatory na hata power of attorney hana!!

Hivi kabisa unaamini huyu Sajenti atakuwa na ubavu wa kumkatalia mjomba Mwamu?!

Kuhusu sheria za uhasibu zipo pale pale bila kujali ikiwa wewe ni raia au mjeda! Tatizo linakuja na msukumo wa kuvunja hiyo miiko ya uhasibu!
 
Mkuu BAK with due respect naona chanzo chako cha habari hakisemi ukweli wa jambo hili. Masuala yote ya kijeshi hata utoaji amri yanafuata utaratibu. Amri zitatolewa vipi, na nani na kwa namna gani vyote viko kwenye utaratibu huo na Amri zilizotajwa kwenye utaratibu ni zile zinaoitwa "AMRI HALALI" na siyo kila amri, hivyo ni upotoshaji kwamba eti afande anaweza akamwambia mhasibu ambaye ni mwanajeshi kwamba "Lipa malipo haya na akalipa" hiyo si kweli hata kidogo. Pia ni vizuri ukafahamu kuwa katika Jeshi kuna utaratibu mzuri tu uliyowekwa kwa mwanajeshi kuhoji amri ambayo anafikiri si halali.
Mkuu Demulikuy,ili mjadala huu uweze kunoga ni vema tukajikita kuanzia mwanzo kwa nini raisi wa kwanza aliamua kufanya hivyo aliona nini??na ukumbuke kwenye utawala wa kwanza mashushushu walikuwa ni hatari kweli na ndio maana wamejaa kwenye vyombo hivyo.
 
Unatoa mifano ambayo haiendani... kiethics auditors are suppossed to be an independent entity haitakiwi kuingiliwa na any organ zaidi ya kule auditor anaporipoti..huo ndio msingi wa kazi zao duniani kote siyo tu kwenye hzo halmashauri ulizotolea mfano...so usifananise uhasibu na uodita....wahasibu wawe ni askari but mahesabu yao yawe audited hapo ndiyo itapatikana solution ya kudumu...lakini siyo kutuchukulia watoto wao mitaani na kuwajaza jeshini..itz logic less..
We bhana... the problem unazungumzia mambo vile ambavyo yanapaswa kuwa lakini huzungumzii vile yalivyo katika uhalisia wake!! Tatizo lako lingine unadhani Auditors wapo kuzuia wizi... utazuia vipi wizi ambao umeshafanyika?! Ni wangapi wanaacha kuiba eti kisa wanawaogopa auditors?!
 
Seriously? So wana bodi yao na wao?
Hivi ni nani amekudanganya kwamba zile bodi zipo pale kuwafanya watu wasiibe?! Hizi bodi zipo kwenye taaluma nyingi tu lakini kanuni na miiko ya kazi kama inavyofundishwa na bodi husika inavunjwa kila leo!! Swali linalobaki ni nini visababishi vya uvunjwaji wa miiko hiyo... ndio hasa tunazungumzia hapa!!
 
Back
Top Bottom