GENTAMYCINE msiwe na hofu huku tunazidisha maombi kwa Jembe km hilo
ili Rais Magufuli amchague katika Wabunge wake 10 na kumpa uwaziri wa Ujenzi ili akawamalizie hawa wanaSIHA barabara za huko Donyomoro
kweli Mfalme hatambuliki kwao
basi hata wamrudishie TAWALA ZA MIKOA chini ya PMO
sijui kosa lake ni kuvitambua vijiji vyote Tanzania na Majina ya wakurugenzi wote wa Halmashauri, Manispaa na majiji ndio WanaSiha wakachukizwa
kweli watamkumbuka hasa kwa zile barabara za milimani ambazo hakuna tena ila Lushoto