kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,931
- 7,828
Hata mimi namkubali sana. wamemtema tu kwa kuichukia ccm hao wamangi lakini mwanri ni mtendaji mwenye tija kubwa serikalini. inaonekana anafaa kuitumikia serikali yenye kaulimbiu 'hapa kazi tu'Ni mmoja wa wasimamizi ninaowakubali kinoma. Yuko wapi huyu jamaa? Hana nafasi ya kuwa kwenye baraza la mawaziri?