Aggrey Mwanri yuko wapi?

Aggrey Mwanri yuko wapi?

Ni mmoja wa wasimamizi ninaowakubali kinoma. Yuko wapi huyu jamaa? Hana nafasi ya kuwa kwenye baraza la mawaziri?
Hata mimi namkubali sana. wamemtema tu kwa kuichukia ccm hao wamangi lakini mwanri ni mtendaji mwenye tija kubwa serikalini. inaonekana anafaa kuitumikia serikali yenye kaulimbiu 'hapa kazi tu'
 
Mkuu mmenikatisha tamaa nilikuwa namkubali sn hasa anapojibu masuali ya wabunge..
 
Hata mimi namkubali sana. wamemtema tu kwa kuichukia ccm hao wamangi lakini mwanri ni mtendaji mwenye tija kubwa serikalini. inaonekana anafaa kuitumikia serikali yenye kaulimbiu 'hapa kazi tu'

Huyu jamaa kama ni mtendaji bas ccm haina watendaji kabisa.......Huyu mpiga dili ungejua,mateso wanasiha wanayopata usingesema.....huyu alikuwa dalali wa ccm....wa kuza ardha ya siha .....kwa wawekezaji ....wananchi wanaishi kwenye makorongo...hawana ardhi yy nawenzake wa ccm wanaenda uchina na ulaya kutafuta wanunuzi.....wachaga wamemkataaa....
 
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao

Siha ni ya wachaga....acha uongo wa dhahir.....
 
Mkuu mmenikatisha tamaa nilikuwa namkubali sn hasa anapojibu masuali ya wabunge..

Hahaaa atakuwa anaangalia wenzake wanavyojibu maswali kwenye runinga ......mbunge huyu ni alikuwa mzigo her gunia la misumari kuliko Mwanry haonyeki hashauriki ...kwaher Mwanry....
 
Huyu jamaa kama ni mtendaji bas ccm haina watendaji kabisa.......Huyu mpiga dili ungejua,mateso wanasiha wanayopata usingesema.....huyu alikuwa dalali wa ccm....wa kuza ardha ya siha .....kwa wawekezaji ....wananchi wanaishi kwenye makorongo...hawana ardhi yy nawenzake wa ccm wanaenda uchina na ulaya kutafuta wanunuzi.....wachaga wamemkataaa....
haya meku,.. ila picha tuliyokua nayo ni mchapakazi sasa nyie ndio alikua mtu wenu ndio mnajua zaidi.
 
haya meku,.. ila picha tuliyokua nayo ni mchapakazi sasa nyie ndio alikua mtu wenu ndio mnajua zaidi.

Yaan huyu ni dalali nashukuru na Gama ameondoka Shamba la west kilimanjaro halitauzwa tena...wakati hatuna Ardhi kabisa watu wanaishi kama wakimbizi......huyo ni nyapara ila ni hana chochote ni kubweka kama Mbwa tu....... Siha inamatatizo makubwa ni wilaya tajiri sana ila wananchi wengine hata makaz ya kuishi hawana ni wakimbiz kwenye nchi yao.....Jamaa kapewa uwazir ndo kaishia huko...saaa na wananchi wamepa ticket ya moja kwa moja...
 
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao

...Rais mmasai.?!
umekunywa nini?
 
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao

Mbona usukuma hauusemi? Mz tumeanza kuonja suruba za ccm=bei za vyakula
 
Magufuli amfanye kuwa mbunge wa kuteuliwa. Mwanri ni one of efficient taskforces.,; asimwache.
Tunakosea sana kumng'ang'ania mtu mmoja kana kwamba hakuna wengine wenye uwezo zaidi yake.
Kuna wengi tu
 
Kwa kauli hyo umedharau wamasai kua hawawez kuongoza hvi wao wana kosa gani jamani??? Kuna tofauti gani ya walichokifanya watu wa geita,simiyu na shinyanga na hao wamasai?? Magufuli asingekazana kuomba kura kisukuma huend yasingetokea pia!!! Msilaumu upande mmoja nilikua namsikia sana magufuli anasema " mtanyima mm kura wa hukuhku??" Wa nyumbani kabisa na babu yangu amezikwa hapahapa??? Na wao waliona wampe wa kwao si mcheza kwao hutunzwa??? Wasukuma nao wamempa msukuma ubunge,urais na madiwan!! Pole sana Mwanri I'm gonna miss ur deep voice tho!

Well said! Baelezee mwanangu
 
Sheee!!!!! Yeroh!!!! Wew unaishi siha ya wap au umeamia nin ,upatikanaji tu wa hii wilaya ,kutoka hai ni juhudi za mwandri ,achilia mbalia uapatikanaji uasambazwaji wa umeme huduma za afya na maji huko vijijini ,huyu dogo kasambaza chuki za kikabilia ili achuguliwe na wamasai walio wengi,kupitia mgongo wa lowasa

Acha mahaba ya kipuuzi kijana..kuzaliwa huku sio kujua au kutokujua ya unachokisema. unachozungumza ni habari za mababu wa ccm waishio huku.
1. Hoja ya kuleta halashauri ni mchakato ulianzwa na mbunge aliyeondoka sio mwanri, pili mbunge hawezi ku influence kuletwa halimashauri kama sehemu husika haijatimiza vigezo. ZINGATIA VIGEZO VYA SEHMU KUTENGWA KUWA WILAYA.
2. Hoja yako ya kusambaza umeme ni propaganda za kijinga..niambie kijiji gani mwandri kapeleka umeme? mese?,ngaron?,kyaboo?, Orkorir, au wapi? kma ameleta umeme hiz nguzo zinazopita sasa za REA za kuanikia nguo?
 
Yeah, Mwanri ni miongoni mwa wanaCCM wachache wanaotambua wajibu wao kwa uma, hata hivyo, naheshimu sana maamuzi ya wananchi wa Siha ya kufanya mabadiliko.
 
Mollel aliyemtoa Mwanri, ni Boya. Katumia ujinga wa wamasaai na ukabila kwani Sia 70% ni wamasai. Molell hamna kitu he is good 4 nothing....! Mwanri anafaa wait!

Acheni ubaguzi. Hao hao unaowaona wajinga kwa ujinga wako ndio waliomchagua na pengine watamchagua tena LEMA badala ya Philemon Mollel. Kumbe mnapenda kuwa wabunge kupitia wajinga ila hamtaki kuangushwa na wajinga. Post yako imenikera sana na inadisappoint sana. Wewe unawaona wamasai ni wajinga wakati unamheshimu LEMA, SOKOINE, LOWASSA na wengine wengi wanaopelekwa bungeni na hao unaowaita wajinga???
 
mwari ni jembe huko siha wameshaanza kumlilia , upepo wa lowasa umewapitia wamasai , bila ya kujielewa wakamchagua moleli kwa kuwa ni mmasai mwenzao , yaan rais mmasai , na mbunge mmasai na madiwan wamasai , kwa sasa ndio wanaongoza halmashauri , tusubiri tuone hatma yao

Hebu tuambie Mwanri amefanya nini hapa Siha zaidi ya kuwafukuza wananchi kwny maeneo yao wakahamia kilindi eti anadai anajenga kiwanda.
 
Mwanri hawafai watu wa siha ndiomaana wamempiga chini.
Punguza jazba heshimu maamuzi ya wapiga kura.

Mwanri anachukiwa sana na wanasiha kwajuwa ameuza nyumba zao na kuwadanganya eti anawajengea kiwanda....pia anajali uwaziri wake na kusahau watu wa jimbo lake.
 
Back
Top Bottom