Makamu mwenyekiti wa chama chake ni eighty something, acha aende tu,hawapasui mawe kule.Tamaa zitamponza miaka 70 anategemea kwenda bungeni kufanya nini ?.
Kwani anaenda kubeba zegeTamaa zitamponza miaka 70 anategemea kwenda bungeni kufanya nini ?.
Kwani hawezi kujiajiri .Makamu mwenyekiti wa chama chake ni eighty something, acha aende tu,hawapasui mawe kule.
Hukumsikia akichukua form alisema " bungeni hawaendi kupigana masumbwi!" 😎Tamaa zitamponza miaka 70 anategemea kwenda bungeni kufanya nini ?.
Uwezo wa kufikiri na kujenga hoja wa MTU wa miaka 70 unahisi ni sawa na MTU wa miaka 40 ?Kwani anaenda kubeba zege
Kweli Ila pia bungeni wanabidi kwenda watu wenye uwezo mzuri wa kufikiri sasa huyo uwezo huo anao?Hukumsikia akichukua form alisema " bungeni hawaendi kupigana masumbwi!" 😎
Kwani Trump ana miaka mingapi?Kwani hawezi kujiajiri .
Kwakuwa uwezo wa kufikiri wa MTU wa miaka 70 ni mdogo anabidi kustep down . kubaki kuwa mshahuri
Nilikuwa naye Urusi 😄Mitano kwa Mwanri
Oohh, waliosoma urusi wote walevi sanaNilikuwa naye Urusi 😄
Unawaambiaje wamarekani,ambao Rais wao Trump ana miaka isiyopungua 79,yaani ana miaka 9 zaidi ya Mwanri?Uwezo wa kufikiri na kujenga hoja wa MTU wa miaka 70 unahisi ni sawa na MTU wa miaka 40 ?
Mtazame kikwete anachofanya sasa
Marekani nchi yao inaongozwa na mifumo ambayo imewekwa tayari .Kwani Trump ana miaka mingapi?
Nauliza hivyo kwasababu bilashaka wamarekani wanajua upungufu wa IQ kwa mtu mwenye miaka 70 inakuaje.
Ni kweli kabisa wakuu. Tanzania ni channel ya vichekesho huko mbinguni. Ila huyu mzee hana baya. Naomba wajumbe wampe kura za kutosha ashinde nafasi hiyo.Wakuu,
Naanza kuamini Tanzania unaweza ukakuta Tanzania kweli ni chaneli ya vichekesho huko mbinguni
Mwanri kaendelea kutoa comedy kwa ujumbe katika harakati za kupata maoni huko Sia