You are correct 💯 scientifically Kuna jamaa mtabe ashawahi kuniambia kuwa Kila kiumbe kina kisukari na kina kansa,shida inaanzia kwenye conditioning Kwa maana ya kuwa kama sukari haijabalance ndio unakuwa ugonjwa,either ikipungua chini ya kiwango au kuzidi juu ya kiwango,Kwa hiyo hapo ni lifestyle issues tu na wajanja globally hawataki ujue Kwa sababu kwao ni biashara yenye faida kubwa sana. Kuhusu cancer ni the same everybody has got the said cancer,hali ni ile ile cells zinazokufa je zinatolewaje,kama zinakosa passage ya kutoka iliyo na nafasi kubwa zina accumulate na kuanza ugonjwa wa kansa. Unapata jawabu kuwa ishu ni ile ile tu lifestyle issues, wajanja Duniani hawataki ujue Kwa sababu ni biashara kubwa sana kwao. Kwa hiyo sio kama kufa hatufi ila kufa mapema na huku unateseka ndio ishu hapo. Au kuzeeka huku unaumwa pia ishu hiyo. Japan na china Kuna vizee above 100 years viko active kuliko mtu wa makamo wa Tanzania wa miaka 55 na kuendelea hapa mshedede wengi wao hazipigi wiper zishafeli,ishu ni ile ile tu lifestyle and beliefs. Kwa iyo unachosema ni Sahihi kabisa,ila uelewa wa watu ni tofauti kabisa Kila mtu ana uelewa wake. Nina Babu yangu anakwenda 95 mpaka kesho anavuta tumbaku ila anasema hajawahi kuvuta Sigara na hajawahi kuumwa serious na kulazwa na bado ana nguvu zote na anakula zaidi ya tunavyokula vijana. Tofauti yake na watu wengi ni kuwa hajawahi acha kufanya KAZI shambani kwake hali chakula hovyo hovyo zaidi ya vyakula anavyozalisha mwenyewe.