Nimefurahi sana kukusikia ukilichambua Azimio la Arusha na hasa Dira ya taifa ambayo marehemu baba wa Taifa alituachia, wakaja wachawi wakaivuruga na kuipachikia tafsiri kama ile imani ya nadharia isemayo Binadamu wote sawa walosema kina Martin Luther King. Mtu yeyote akitaka kuitafsiri anavyopenda basi haiwezi kuwa na mantiki hata kiidogo isipokuwa ni budi sisi waumini tuelewe yule msemaji alikuwa na maana gani na sio hiyo tunayojaribu kuitunga sisi. Hivyo basi napata darasa mkuu wangu mwageni manyanga!
Posted Date::1/21/2008
Serikali yadai katiba ya Tanzania haina kasoro
Na James Magai
WAKATI Muungano wa vyama vya upinzani nchini umetangaza kuwa mwaka 2008 ni wa mapambano ya kukamilisha agenda yao ya kudai Katiba mpya ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, serikali imesisitiza kuwa katiba ya sasa haina kasoro na kwamba inakidhi mahitaji yote ya msingi.
Waziri wa Sheria na Katiba, Dk Mary Nagu alimweleza mwandishi wa gazeti hili kuwa Katiba ya sasa ya jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliotungwa mwaka 1977, bado inakidhi mahitaji kwa kuwa ilitungwa kwa umakini mkubwa kwa kuwashirikisha watanzania wengi
Katiba hii bado inakidhi mahitaji na inahimili mabadiliko yote ya kijamii yanayotokea nchini kwa kuwa ina mambo yote yanayotakiwa kuwemo katika katiba ya kidemokrasia, alisema Dk Nagu.
Akizungumzia hoja ya wapinzani kuhusu kutungwa kwa katiba mpya, Dk Nagu alisema huu sio wakati wake wala kwa sasa hakuna sababu za kutunga katiba mpya kwa sababu iliyopo inakwenda na wakati.
Alieleza sababu za kutungwa kwa katiba mpya kuwa ni kutokana na matukio makubwa ikiwamo kubadilisha mamlaka ya dola.
Kwa mfano tulipotoka serikali ya kikoloni na kwenda serikali ya uhuru tulitunga katiba mpya. Pia tulipoachana na Malkia wa Uingereza tulitunga katiba mpya na baada ya kuwa na Muungano tukawa na katiba mpya tuliyonayo sasa, alibainisha Dk Nagu.
Hata hivyo alisema serikali haijui hoja ya msingi katika madai ya wapinzani kuhusu katiba, kwamba wanataka itungwe katiba mpya au iliyopo ifanyiwe marekebisho.
Alisema wapinzani hawajawahi wasilisha mapendekezo yao serikalini kuhusiana na madai yao zaidi ya kusikia madai hayo kupitia vyombo vya habari.
Suala la kutunga katiba mpya wakati huu hatuna na sio agenda yetu. Agenda yetu kuu na iliyoko kwenye Ilani ya Uchaguzi ya CCM ni kuondoa umaskini na kuleta maendeleo kwa wananchi, kujenga shule, zahanati na vituo vingi vya afya na kuleta mabadiliko ya kilimo ili kuboresha maisha ya Watanzania, alisema Dk Nagu.
Alisema kama hoja ya wapinzani ni kutunga katiba mpya kwa maana ya kuifuta katiba yote inayotumika sasa, hiyo ni vigumu kwa sasa kwa sababu, licha ya kutokuwa agenda ya serikali pia sio wakati muafaka.
Dk Nagu alisema kama hoja ya wapinzani ni kufanya mabadiliko katika baadhi ya mambo ambayo wanadhani yanahitaji mabadiliko ndani ya katiba basi wanapaswa kuyawasilisha serikali kwa utaratibu ulioainishwa na katiba.
Alisema katiba si Msahafu wala si Biblia bali ni waraka hai unaoruhusu mabadiliko, lakini akaonya kuwa ni sheria kuu ambayo ikitikiswatikiswa inaweza kusababisha nchi kuondokana na amani ambayo alisema yeye anaamini imedumishwa na katiba ya sasa.
Akizungumzia utaratibu wa kufanya mabadiliko katika katiba alisema ni lazima kwanza kukusanya maoni kutoka kwa wananchi, kuona kama wanakubaliana na jambo husika na kisha kupeleka muswada bungeni, ambalo litaipitisha kwa niaba ya wananchi.
Alisema hadi sasa katiba imekwishafanyiwa mabadiliko mbalimbali na kwa nyakati tofauti tofauti, ikiwa ni pamoja na kuweka misingi ya haki za binadamu mwaka 1984 na wakati wa mfumo wa vyama vingi mwaka 1992.
Sasa kama kuna mengine, tufuate utaraibu tulioufuata wakati ule ambao uko katika katiba, kwa sababu katiba sheria mama ambayo inaruhusu mabadiliko kwa mambo yale yanayohitaji mabadiliko kulingana na muda wenyewe, alisema na kuongeza:
:Lakini katiba itabakia ile ya mwaka 1977 hivyo tutenganishe kati ya kutunga katiba upya na kufanya mabadiliko ndani ya katiba iliyopo sasa hivi. Kwa ujumla wapinzani haieleweki kama wanataka katiba mpya au wanataka mabadiliko".
Alifafanua pia kuwa sio kila mabadiliko yanayotokea duniani na nchini ni lazima kufanya mabadiliko katika katiba bali mengine huweza kufanywa kupitia katika sheria mbalimbali ambazo pia zinatungwa kwa kuangalia katiba.
Alitoa mfano wa mabadiliko yaliyowahi kufanyika katika sheria kuwa ni pamoja na kuundwa kwa mamlaka na vyombo mbalimbali vya udhibiti ikiwamo Ewura na Sumatra.
Kwa hivyo kama nilivyokwisha kusema wao walete tu mapendekezo yao na sisi tutayaangalia, jambo ambalo linahitaji mabadiliko tutawaeleza utaratibu na namna ya kufanya kuleta mabadiliko hayo kama hayako kwenye katiba na kama hayawezi kufanyika kupitia katika sheria, alisisitiza Dk.Nagu.
Hivi karibuni vyama vya upinzani nchini vilifanya mkutano na vyombo vya habari na kutoa tamko kuwa mwaka 2008 ni mwaka wa mapambano ya kukamilisha agenda ya kutungwa kwa katiba mpya na kwamba tayari wamekwisha kamilisha rasimu ya katiba mpya ambayo wataanza kuipeleka kwa wananchi ili kupata maoni kabla ya kluishinikiza serikali kuipitisha.
Kwa muda mrefu wapinzani wamekuwa wakidai kuwa katiba ya Tanzania ina mapungufu hivyo inatakiwa kuandikwa upya lakini serikali imkuwa kikipinga hadi bungeni.
Hata hivyo, kabla ya Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2005, wapinzani walishindwa kujenga hoja ya pamoja juu ya madai yao hayo kutokana na kutokuwa na umoja, kufautia umoja waliouunda kuvunjika wakati wanaelekea kwenye mchakato wa uchaguzi huo. Safari hii vyama hivyo vimeunda umoja ambao pia baadhi ya vyama vimejitoa na kuunda wa kwao hivyo kuifanya kambi hiyo kuwa na makundi mawili.
Pumping up my fist like Sarafina, listening to Zombie by Fela after my prayer above, I have made pact with myslef for a new convenant to rescue Tanzania from the hands of killers who are lyinching us on day light.
As you most of you have seen I started the topic for Focus 2010 and Chadema must Reform as to create a dialogue of great minds (both for and opposing) in searching for means and way to bring true changes for our country and not dwelling on costmetic appearance.
I am calling for all those who are ready to join me in my journey to save our nation to be active participants of several innitiatives that I will be working on to empower Tanzanians (some of you we have already spoke about this).
Yes, my emotions on my prayer above are true, my anger is deeper than Lake Tanganyika, I am tired to be played like a yo-yo or some toy, while I have all the blessings from the Mighty God.
Some of innitiatives that I would like to work on are New Constitution for URT, Muungano, revisiting Azimio la Arusha,Freedom of press, revisiting MKUKUTA and VISION 2025 and Volunteerism.
The priority is on Katiba. For those who will be interested, please send me a PM and we will pick it up from there. The door is open for serious folks of all minds, whether is CCM, Chadema, CUF or Independents.
This project will be for the benefit of Mtanzania and taifa and not tied to one political party.
This is my new convenant in fighting Ujinga, Maradhi na Umasikini. Ni agano jipya la kumrudishia kila Mtanzania matumaini kuwa hatujakwama Jangwani tukisubiri Mana kutoka mbinguni.
Sitaacha mapambano dhidi ya Ufisadi, Uhujumu, Usaliti au Ubadhirifu wa mali na hazina ya Taifa.
Aluta Continua!
I am certain that my fellow Americans expect that on my induction into the Presidency I will address them with a candor and a decision which the present situation of our people impel. This is preeminently the time to speak the truth, the whole truth, frankly and boldly. Nor need we shrink from honestly facing conditions in our country today. This great Nation will endure as it has endured, will revive and will prosper. So, first of all, let me assert my firm belief that the only thing we have to fear is fear itself-nameless, unreasoning, unjustified terror which paralyzes needed efforts to convert retreat into advance. In every dark hour of our national life a leadership of frankness and vigor has met with that understanding and support of the people themselves which is essential to victory. I am convinced that you will again give that support to leadership in these critical days.
In such a spirit on my part and on yours we face our common difficulties. They concern, thank God, only material things. Values have shrunken to fantastic levels; taxes have risen; our ability to pay has fallen; government of all kinds is faced by serious curtailment of income; the means of exchange are frozen in the currents of trade; the withered leaves of industrial enterprise lie on every side; farmers find no markets for their produce; the savings of many years in thousands of families are gone.
More important, a host of unemployed citizens face the grim problem of existence, and an equally great number toil with little return. Only a foolish optimist can deny the dark realities of the moment.
Yet our distress comes from no failure of substance. We are stricken by no plague of locusts. Compared with the perils which our forefathers conquered because they believed and were not afraid, we have still much to be thankful for. Nature still offers her bounty and human efforts have multiplied it. Plenty is at our doorstep, but a generous use of it languishes in the very sight of the supply. Primarily this is because the rulers of the exchange of mankind's goods have failed, through their own stubbornness and their own incompetence, have admitted their failure, and abdicated. Practices of the unscrupulous money changers stand indicted in the court of public opinion, rejected by the hearts and minds of men.
True they have tried, but their efforts have been cast in the pattern of an outworn tradition. Faced by failure of credit they have proposed only the lending of more money. Stripped of the lure of profit by which to induce our people to follow their false leadership, they have resorted to exhortations, pleading tearfully for restored confidence. They know only the rules of a generation of self-seekers. They have no vision, and when there is no vision the people perish.
The money changers have fled from their high seats in the temple of our civilization. We may now restore that temple to the ancient truths. The measure of the restoration lies in the extent to which we apply social values more noble than mere monetary profit.
Happiness lies not in the mere possession of money; it lies in the joy of achievement, in the thrill of creative effort. The joy and moral stimulation of work no longer must be forgotten in the mad chase of evanescent profits. These dark days will be worth all they cost us if they teach us that our true destiny is not to be ministered unto but to minister to ourselves and to our fellow men.
Recognition of the falsity of material wealth as the standard of success goes hand in hand with the abandonment of the false belief that public office and high political position are to be valued only by the standards of pride of place and personal profit; and there must be an end to a conduct in banking and in business which too often has given to a sacred trust the likeness of callous and selfish wrongdoing. Small wonder that confidence languishes, for it thrives only on honesty, on honor, on the sacredness of obligations, on faithful protection, on unselfish performance; without them it cannot live.
Restoration calls, however, not for changes in ethics alone. This Nation asks for action, and action now.
Our greatest primary task is to put people to work. This is no unsolvable problem if we face it wisely and courageously. It can be accomplished in part by direct recruiting by the Government itself, treating the task as we would treat the emergency of a war, but at the same time, through this employment, accomplishing greatly needed projects to stimulate and reorganize the use of our natural resources.
Hand in hand with this we must frankly recognize the overbalance of population in our industrial centers and, by engaging on a national scale in a redistribution, endeavor to provide a better use of the land for those best fitted for the land. The task can be helped by definite efforts to raise the values of agricultural products and with this the power to purchase the output of our cities. It can be helped by preventing realistically the tragedy of the growing loss through foreclosure of our small homes and our farms. It can be helped by insistence that the Federal, State, and local governments act forthwith on the demand that their cost be drastically reduced. It can be helped by the unifying of relief activities which today are often scattered, uneconomical, and unequal. It can be helped by national planning for and supervision of all forms of transportation and of communications and other utilities which have a definitely public character. There are many ways in which it can be helped, but it can never be helped merely by talking about it. We must act and act quickly.
Finally, in our progress toward a resumption of work we require two safeguards against a return of the evils of the old order; there must be a strict supervision of all banking and credits and investments; there must be an end to speculation with other people's money, and there must be provision for an adequate but sound currency.
There are the lines of attack. I shall presently urge upon a new Congress in special session detailed measures for their fulfillment, and I shall seek the immediate assistance of the several States. Through this program of action we address ourselves to putting our own national house in order and making income balance outgo. Our international trade relations, though vastly important, are in point of time and necessity secondary to the establishment of a sound national economy. I favor as a practical policy the putting of first things first. I shall spare no effort to restore world trade by international economic readjustment, but the emergency at home cannot wait on that accomplishment.
The basic thought that guides these specific means of national recovery is not narrowly nationalistic. It is the insistence, as a first consideration, upon the interdependence of the various elements in all parts of the United States-a recognition of the old and permanently important manifestation of the American spirit of the pioneer. It is the way to recovery. It is the immediate way. It is the strongest assurance that the recovery will endure.
In the field of world policy I would dedicate this Nation to the policy of the good neighbor-the neighbor who resolutely respects himself and, because he does so, respects the rights of others-the neighbor who respects his obligations and respects the sanctity of his agreements in and with a world of neighbors.
If I read the temper of our people correctly, we now realize as we have never realized before our interdependence on each other; that we can not merely take but we must give as well; that if we are to go forward, we must move as a trained and loyal army willing to sacrifice for the good of a common discipline, because without such discipline no progress is made, no leadership becomes effective. We are, I know, ready and willing to submit our lives and property to such discipline, because it makes possible a leadership which aims at a larger good. This I propose to offer, pledging that the larger purposes will bind upon us all as a sacred obligation with a unity of duty hitherto evoked only in time of armed strife.
With this pledge taken, I assume unhesitatingly the leadership of this great army of our people dedicated to a disciplined attack upon our common problems. Action in this image and to this end is feasible under the form of government which we have inherited from our ancestors. Our Constitution is so simple and practical that it is possible always to meet extraordinary needs by changes in emphasis and arrangement without loss of essential form. That is why our constitutional system has proved itself the most superbly enduring political mechanism the modern world has produced. It has met every stress of vast expansion of territory, of foreign wars, of bitter internal strife, of world relations.
It is to be hoped that the normal balance of executive and legislative authority may be wholly adequate to meet the unprecedented task before us. But it may be that an unprecedented demand and need for undelayed action may call for temporary departure from that normal balance of public procedure. I am prepared under my constitutional duty to recommend the measures that a stricken nation in the midst of a stricken world may require. These measures, or such other measures as the Congress may build out of its experience and wisdom, I shall seek, within my constitutional authority, to bring to speedy adoption.
But in the event that the Congress shall fail to take one of these two courses, and in the event that the national emergency is still critical, I shall not evade the clear course of duty that will then confront me. I shall ask the Congress for the one remaining instrument to meet the crisis-broad Executive power to wage a war against the emergency, as great as the power that would be given to me if we were in fact invaded by a foreign foe.
For the trust reposed in me I will return the courage and the devotion that befit the time. I can do no less.
We face the arduous days that lie before us in the warm courage of the national unity; with the clear consciousness of seeking old and precious moral values; with the clean satisfaction that comes from the stern performance of duty by old and young alike. We aim at the assurance of a rounded and permanent national life.
We do not distrust the future of essential democracy. The people of the United States have not failed. In their need they have registered a mandate that they want direct, vigorous action. They have asked for discipline and direction under leadership. They have made me the present instrument of their wishes. In the spirit of the gift I take it. In this dedication of a Nation we humbly ask the blessing of God. May He protect each and every one of us. May He guide me in the days to come.
Source: Franklin D. Roosevelt, Inaugural Address, March 4, 1933, as published in Samuel Rosenman, ed., The Public Papers of Franklin D. Roosevelt, Volume Two: The Year of Crisis, 1933 (New York: Random House, 193, 11–16.
.. only thing we have to fear is fear itself
Tamko hilo la Roosevelt la ogopa woga kwa moyo wako wote Leo hii katika sanyansi na dhana mpya kabisa (1998/2000) ya kutathmini Ustawi wa jamii Emotional Intelligence (EI) au Ukomavu wa utu linachambuliwa hivi;
WOGA unatizamwa katika njia tofauti kabisa na ile inayofahamika kwenye Psychology na psychiatry. Woga, wasiwasi na Mashaka, (negative emotions/hisiahasi) vinaweza kutumiwa kama nguvu maalum ya kusaliti ustawi wa jamii iliyopevuka na kujitawala kiuchumi na kibinadamu. Mnapokuwa kwenye kundi na mkashituliwa na "Mbwa makali " yule atakaye zalisha au kusambaza woga zaidi ya wenzake ndiye atakaye kuwa wa kwanza kuwa kitoweo cha mnyama huyo mkali. fuatilia. http://www.duniahai.com/Uharibifu wa Hisia Hasi.html
Atakaye zalisha woga zaidi atashambiliwa, atakuwa mnyonge na atakaye fedheheshwa na mnyama huyo. Atajulikana kama With low EI. Yaani aliye duni katika kuerevuka kihisia. Ili kuelewa vizuri dhana hii , Kwenye neno mbwa liondoe na weka neno FISADI, ndipo utelewa vema Roosevelt anasema nini. Yaani fisadi akutishe kwa kukumwagia tindikali usoni na wewe utishike, fisadi akutishe na wewe uogope pale anaponyofoa vipengele muhimu kwenye maagano, maazimio na nyaraka muhimu za kitaifa. Fisadi atoe tafsiri za kifisadi za kitu kama azimo la Arusha na wewe ukae kimya unatetemeka kwa woga! Hakika Fisadi atakufanya kitoweo muafaka. Atatafuna jamii nzima kupitia kodi za walalahoi zilizoko bank kuu, mikataba hovyo ya uchumi wa taifa, miradi muhimu ya kitaifa, kuyumbisha makusudi dira ya taifa kwa faida yake etc. Lakini yote haya ni kwa kuwa mwananchi kajitakia mwenyewe ;kawa mkarimu wa woga tu kwa fisadi. Kimsingi Kama wewe ni Mtanzania wa kweli: Kamwe Usimuogope fisadi. Hasa unapopigania na kutetea haki ya wanyonge waliowengi. Milele usimwezeshe Fisadi kwa Hisia hasi! Erevuka kuhusu hisa zako sasa!Na uziwajibikie.
Woga na hisia hasi anasema Roosvelt havituwezeshe kamwe kusonga mbele na kujitokeza kutetea taifa kwa kusema Ukweli kama Ulivyo mioyoni mwetu au kama tunavyoujua na kuuamini.This is preeminently the time to speak the truth, the whole truth, frankly and boldly. Nor need we shrink from honestly facing conditions in our country today. This great Nation will endure as it has endured, will revive and will prosper. So, first of all, let me assert my firm belief that the only thing we have to fear is fear itself
Shime tumnyime Fisadi kile anachotaka kutoka kwetu ngvu ya hisia hasi. Bila sisi kumpa woga, wasiwasi, unyonge na kunywea hovyo mbele yake, fisadi hana Nguvu peke yake ya kutunyonya nakutufanyia michezo inayoendelea sasahivi ndani ya taifa letu!
Bila kumpa Mbwa woga , anauweka mkia sehemu inayostahili .. katikati ya miguu yake na kurudi alipotoka kwa unyonge mkubwa. Huo unakuwa ni ujembe tosha kwa Fisadi wa aina yeyote toka kwa wale anaowafisadi. Maana anajua Nguvu ya fikra toka kwa Mtanzania asiye ujua woga wa kijinga. Fikra Pevu zilizojikita kwenye kiwango cha juu cha EI sio IT; Ni silaha tosha ambayo inaweza kumtingisha fisadi hatakama yuko JF na kufuatiwa na hatua ACTION NOW!!!Ambazo lazima lazima Zitakuwa Productive!!
Rev. Kishoka,
Nakumbuka vizuri tulijaribu kuchangia mengi mazuri kisha kuna wakati niliomba mchango wa wengi nikiwa na haja kubwa ya kuorodhesha maoni ya watu na kutunga Azimio jipya (Agano jipya)
lakini baada ya kwenda Tanzania Mwezi March hadi May nilirudi na kusema kuwa mawazo yetu yote hayawezi kufanya kazi ama kuleta mabadiliko hadi pale tutakapo weza komesha UHUJUMU UCHUMI....
Wapo ambao hawakuniamini kwa sababu tu hizi habari za BoT zilikuwa kapuni...tukaitwa majina ya Wapinzani na kadhalika kuwa kelele za mlangoni haziwezi kuwazuia kulala..
Leo hii zimeibuka na wao ndio wamekuwa Wapinzani!...The hunter amekuwa the hunted one, ule ule mchezo wa Predator na Pray, hivi sasa wanaanza kujikanyaga ovyo.
Kama ulivyosema mkuu wangu - Aluta continua tutaendelea kujenga hoja hata kama zinaonekana kuwa pingamizi kwa baadhi ya watu wasokuwa na upeo. Mantiki yake itakuja onekana na Mungu kuibariki Tanzania kwani hata Yesu mwenyewe ktk mafundisho yake zilipita karne tatu ndipo Biblia ilipokusanywa... aliondoka akiwa na wafuasi wachache sana pengine naweza sema 0.00000000001 yaani hapakuwa na posibility kabisa ya neno la Mungu kuweza kuenea duniani nzima.
Alafu nitoe angalizo hili:Mark Twain said, "In the beginning of a change, the patriot is a scarce man, and brave, and hated and scorned. When his cause succeeds, the timid join him, for then it costs nothing to be a patriot"
Nakumbuka vizuri tulijaribu kuchangia mengi mazuri kisha kuna wakati niliomba mchango wa wengi nikiwa na haja kubwa ya kuorodhesha maoni ya watu na kutunga Azimio jipya (Agano jipya
Devided Perspective
Bob Mkandara,
Just think of this case and this scenario.
Uko kwenu Ukerewe, ni mkulima na una kaduka kako. Mbunge wenu Msekwa au Mongella, anarudi nyumbani baada y akukumbwa na sekeseke ya tuhuma za uhujumu, kufuja mali na hata ufisadi (wizi).
Mwenyekiti wa Kijiji na yule wa tawi la CCM pale kijijini, wakiandamana na katibu tarafa wanakuja pitisha harambee ya kutaka kondoo, kuku, mbuzi, ngombe, mchele, mkungu wa ndizi ili kuandamana kwenda Nansio kumpokea Mbunge wenu Msekwa/Mongella kwa kurejea nyumbani baada ya kujiuzulu kwa tuhuma.
Wewe si CCM, ni independent au tuseme ni Chadema, CUF au DP. Unakataa kutoa "mchango" huu wa sherehe. Tuseme kukataa kwako hakuhusiana hata chembe kuwa wewe si Mwana CCM au ni hukumu yako juu ya Mbunge wako, bali ni utashi kuwa hutaki changia.
Wanakukalisha kikao na kuanza kukuchimba mkwara na vitisho;
Halafu taratibu, wenzio kijijini wanaanza kujitenga nawe, watoto wanalishwa sumu shuleni na kuanza hata kukushangaa kwa msimamo wako huku shuleni wameimba CCM kupitia TANU ilituletea uhuru kutoka mkoloni. Leo Baba inakuaje unakataa kuisaidia CCM?
- ohh, Mukandara unajitenga?
- unajiona wewe ni bora?
- huogopi Polisi ambao ni CCM? na Rais wa nchi ni CCM?
- hivi ukifiwa nani atakusaidia kuzika?
- mahindi yako yakikomaa nani atakusaidia kuvuna?
- unafikiri kiduka chako tunakitegemea sana?
- umesahau kuwa Serikali ni ya CCM? na CCM ndio iliyotupa Tanzania Uhuru?
- je watoto wako shule anayokwenda ni nani kajenga kama si CCM?
- kama si CCM wewe ungepata wapi huu utajiri wako mbuzi?
- sisi tutakutenga na si mwenzetu!
- mazao yako siku ukiyaleta gulioni tutahakikisha umedoda
- endelea kuringia vimbuzi na vikuku vyako, wewe ni nani kuigomea CCM!
Kumbe Bob Mkandara yule mbuzi na kuku ni mbegu ya kuzalisha mbuzi na kuku wengine ili mwanao Msafiri anayemaliza darasa la saba apate karo ya kwenda sekondari!
This is what I am talking about Divided perspectives. Si ajabu wengi walioandamana waliburuzwa kwa vitisho, wakapewa Khanga, Kofia na chupa moja ya Wanzuki.
Lakini ni mpaka lini tutaendelea na hii disconnection?
__________________
Rev sikuiona hii, hopeful mipango bado inaendelea ingawa safari ni ndefu lakini nadhani mapambano bado yanaendelea, sijasoma watu wengine wanasemaje ila nitasoma kesho.Pumping up my fist like Sarafina, listening to Zombie by Fela after my prayer above, I have made pact with myslef for a new convenant to rescue Tanzania from the hands of killers who are lyinching us on day light.
As you most of you have seen I started the topic for Focus 2010 and Chadema must Reform as to create a dialogue of great minds (both for and opposing) in searching for means and way to bring true changes for our country and not dwelling on costmetic appearance.
I am calling for all those who are ready to join me in my journey to save our nation to be active participants of several innitiatives that I will be working on to empower Tanzanians (some of you we have already spoke about this).
Yes, my emotions on my prayer above are true, my anger is deeper than Lake Tanganyika, I am tired to be played like a yo-yo or some toy, while I have all the blessings from the Mighty God.
Some of innitiatives that I would like to work on are New Constitution for URT, Muungano, revisiting Azimio la Arusha,Freedom of press, revisiting MKUKUTA and VISION 2025 and Volunteerism.
The priority is on Katiba. For those who will be interested, please send me a PM and we will pick it up from there. The door is open for serious folks of all minds, whether is CCM, Chadema, CUF or Independents.
This project will be for the benefit of Mtanzania and taifa and not tied to one political party.
This is my new convenant in fighting Ujinga, Maradhi na Umasikini. Ni agano jipya la kumrudishia kila Mtanzania matumaini kuwa hatujakwama Jangwani tukisubiri Mana kutoka mbinguni.
Sitaacha mapambano dhidi ya Ufisadi, Uhujumu, Usaliti au Ubadhirifu wa mali na hazina ya Taifa.
Aluta Continua!