5523
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 1,697
- 1,591
Tafuta taarifu mkuu usikurupuke. Hapa shughuli ndoo imeanza. Hivi unawajua wafanyakazi wangapi wa serikali ambao wapo above 60? Au unafikiri ni bahati mbaya?
Steven Wassira ana umri gani? mbona nyinyi ccm munaona aibu kuwajibika mnajikanyanyaga tu, Ulimwengu mzima unafahamu AG Warema ni mwizi, Muhongo ni ni Mwizi sasa kwanini ameandika barua ya kuiuzulu tena wakati huu ambapo ameiba fedha za umma? Muhongo naye akiachishwa kazi itakuwa ni umri pia alishaandika barua ya kustaafu? sham apon u