samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
werema hakuwa jaji mkuu alikuwa mwanasheria mkuu nadhan umechanganya kidogo na anatakiwa kustaafu October 2015
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama amezaliwa October 1955 atastaafu 2015 October
Nafasi ya uteule na kustaafu. Kanuni za utumishi zinasemaje kwa nafasi hizo.....??? Mselewa......???? Mana najua umefika Hapo kwa kubebwa na profesa MBunda.
hahahaa nilikua nawaza almost the same kuwa kuna siku atapewa Ubalozi tu, trust me or not tena ni kabla ya JK kutoka madarakani, kama atatoka.Yaani bonge la changa la macho!! Anazidi kuendeleza unafiki,na tusishangae siku moja akapewa nishani ya kiongozi bora aliyeachia madaraka mwenyewe.
Elli njoo huku ushangae
Osaka Ndugu yangu soma taratibu na uelewe. hakuna haraka yakurukia kwenye kucomment wakati hujaelewa mada yenyewe.
mkuu naona mwaka aliozaliwa hujauhesabu
mkuu naona mwaka aliozaliwa hujauhesabu
we una hesabu vipi umri wa mtu?
Mkuu mambeza,unakumbuka Jaji Mkuu na hata Mwanasheria Mkuu Mwanyika alistaafu? Halafu Mkuu,Profesa unayemtaja hakuwahi kuwa mwajiri. Yawezekana nimekuzidi ufaulu na elimu. Kubali matokeo Mkuu
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Fredrick Werema amezaliwa tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 1954. Kimahesabu na kisheria,Jaji Werema alistaafu tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 2014.
Imewezekanaje ajiuzulu jana? Kwanini sasa na si wakati wa kustaafu? Mstaafu ajiuzulu kweli!?