AG Werema alishastaafu utumishi wa umma kwa mujibu wa sheria

Kwa mnaosubiri miujiza toka kwa JK juu ya kuwawajibisha wahusika wa sakata la TEGETA ESCROW ni vema mkatambua kuwa AG Werema alishastaafu kwa mjibu wa sheria tokea November 30 2014.

Hivyo basi mtakaposikia anatangazwa AG mwingine msijedhani kawajibishwa.

Kwa ninavyomwelewa mkuu wa kaya ni kuwa atatangaza AG mwingine bila kuongea chochote kuhusu Werema ili watu muamini kwamba kamuwajibisha.

Hii taarifa ilisambaa sana kwenye vyombo vya habari. Leo nimeshangaa kusikia kajiuzulu. Dawa ni kutafuta CV yake na kuiweka bayana.
 
Hii taarifa ilisambaa sana kwenye vyombo vya habari. Leo nimeshangaa kusikia kajiuzulu. Dawa ni kutafuta CV yake na kuiweka bayana.

CV wanapika, inatakiwa barua yake ya ajira ichomolewe kwenye file ndoo itakuwa na data za ukweli. Na hii isisababishe yeye kutoshitakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi. Kuchafua hali ya hewa maana yake ni nini? Mwizi huyu.
 
CV wanapika, inatakiwa barua yake ya ajira ichomolewe kwenye file ndoo itakuwa na data za ukweli. Na hii isisababishe yeye kutoshitakiwa kwa matumizi mabaya ya ofisi. Kuchafua hali ya hewa maana yake ni nini? Mwizi huyu.

Mkuu umesema kweli.
Ila leo mimeshangaa kusikia kupitia radio, Radio Tumaini - Hapa na Pale Magazetini, likisomwa gazeti la Mwananchi kuwa Fredrick Werema alizaliwa tarehe 10 Oktoba 1955.

Wengine wanajiuzuru hawaweki umri wallizaliwa link iweje huyu? Kinafichwa nini?
 
Mkuu umesema kweli.
Ila leo mimeshangaa kusikia kupitia radio, Radio Tumaini - Hapa na Pale Magazetini, likisomwa gazeti la Mwananchi kuwa Fredrick Werema alizaliwa tarehe 10 Oktoba 1955.

Wengine wanajiuzuru hawaweki umri wallizaliwa link iweje huyu? Kinafichwa nini?

Wikipedia wanasema hivi "Judge Werema was born on October 10, 1954 (Age 60). Inawezekana kweli mwanasheria mkuu wa serikali akawa na nyumri (kama kuna uwingi wa umri) mbalimbali?
 
Wikipedia wanasema hivi "Judge Werema was born on October 10, 1954 (Age 60). Inawezekana kweli mwanasheria mkuu wa serikali akawa na nyumri (kama kuna uwingi wa umri) mbalimbali?

Kwa tovuti ya Bunge kazaliwa 1955..
 

Attachments

  • 1418796110722.jpg
    1418796110722.jpg
    60.4 KB · Views: 132
Rekebisho: werema kazaliwa 1951 ninamfahamu binafsi. Aliachiwa aendelee ili aondoke na JK 2015.

Dr. Feleshi unamjua vizuri sana, Werema nae naona unamjua vizuri zaidi hata ya anavyojijua yeye mwenyewe na wazazi wake, heko.
 
Dr. Feleshi unamjua vizuri sana, Werema nae naona unamjua vizuri zaidi hata ya anavyojijua yeye mwenyewe na wazazi wake, heko.

Teh teh teh wangapi wanafoji miaka? Wengi tu wengine ndugu zangu walipeleka mbele miaka makusudi ili wachelewe kustaafu....

Unakuta mtu kazaliwa 1951 anadai kazaliwa 1960 ili apate fursa ya kufanya kazi mda mrefu...

Nimekushangaa Sana kuniletea ushahidi huo ambao kwa TZ yetu hauna uzito wowote ule...

Kuna wabunge wengi tu kwenye hiyo website ya bunge taarifa zao ni uongo mtupu ikiwemo kukosewa mpaka elimu na muda Wa masomo...

Hii haina jipya.
 
Teh teh teh wangapi wanafoji miaka? Wengi tu wengine ndugu zangu walipeleka mbele miaka makusudi ili wachelewe kustaafu....

Unakuta mtu kazaliwa 1951 anadai kazaliwa 1960 ili apate fursa ya kufanya kazi mda mrefu...

Nimekushangaa Sana kuniletea ushahidi huo ambao kwa TZ yetu hauna uzito wowote ule...

Kuna wabunge wengi tu kwenye hiyo website ya bunge taarifa zao ni uongo mtupu ikiwemo kukosewa mpaka elimu na muda Wa masomo...

Hii haina jipya.

Kinachozingatiwa ni ushahidi wako huo wa mdomo au wa kidocuments na makablasha ya ajira?
 
Kwa mnaosubiri miujiza toka kwa JK juu ya kuwawajibisha wahusika wa sakata la TEGETA ESCROW ni vema mkatambua kuwa AG Werema alishastaafu kwa mjibu wa sheria tokea November 30 2014.

Hivyo basi mtakaposikia anatangazwa AG mwingine msijedhani kawajibishwa.

Kwa ninavyomwelewa mkuu wa kaya ni kuwa atatangaza AG mwingine bila kuongea chochote kuhusu Werema ili watu muamini kwamba kamuwajibisha.

Sio kweli na wewe acha kuupotosha umma inawezekana kabisa wewe ni CCM umetumwa uje uandike hili ili upunguze makali ya kwenye mitandao ya AG kujiuzulu, sasa kama ni issue ya kustaafu kwa nini asubiri aibu ya kujiuzulu na asiondoke kwa heshima ya kustaafu?? this is nonsense., Akijiuzulu Muhongo na Tibaijuka je pia watakuwa wamemuandikia barua kwa rais ya kustaafu kabla huko November?
 
..huyu jamaa alipateje ujaji huyu??maana hata elimu yake naona ameungaunga kweli kweli...kweli TZ tuna kazi....hawa vihiyo wataendelea kututawala hadi lini??
 
Sio kweli na wewe acha kuupotosha umma inawezekana kabisa wewe ni CCM umetumwa uje uandike hili ili upunguze makali ya kwenye mitandao ya AG kujiuzulu, sasa kama ni issue ya kustaafu kwa nini asubiri aibu ya kujiuzulu na asiondoke kwa heshima ya kustaafu?? this is nonsense., Akijiuzulu Muhongo na Tibaijuka je pia watakuwa wamemuandikia barua kwa rais ya kustaafu kabla huko November?

Tafuta taarifu mkuu usikurupuke. Hapa shughuli ndoo imeanza. Hivi unawajua wafanyakazi wangapi wa serikali ambao wapo above 60? Au unafikiri ni bahati mbaya?
 
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Fredrick Werema amezaliwa tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 1954. Kimahesabu na kisheria,Jaji Werema alistaafu tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 2014.

Imewezekanaje ajiuzulu jana? Kwanini sasa na si wakati wa kustaafu? Mstaafu ajiuzulu kweli!?
 
Inatokea sana kaka na ni vitu vya kawaida sana but . .






Only in TZ.
Kushangaa mwisho Mara moja
 
Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali,Jaji Fredrick Werema amezaliwa tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 1954. Kimahesabu na kisheria,Jaji Werema alistaafu tarehe 10 mwezi wa Oktoba mwaka 2014.

Imewezekanaje ajiuzulu jana? Kwanini sasa na si wakati wa kustaafu? Mstaafu ajiuzulu kweli!?

This is a very good point na ni offside mwingine chamber ukiwa miongoni mwah basic data um wa kosher kerbs wa kustaafu ukifika hauwezi na hawakuulizi kea vile ni mfisadi mwenzao. Tuna menage sang ya kutatua taiga letu na tusidhani ufisadi ni EPA, RICHMOND, ESCROW na za aina hiyo tu, hata hii ndio hupelekea huu ufisadi tuuonao kutendeka katika scale hiyo.
 
Back
Top Bottom