MotoYaMbongo
JF-Expert Member
- Jan 7, 2008
- 2,146
- 884
Ataikumbuka dushelele, halafu hana, pole yake kwa ujinga, kwani angewakataa hao madem wangemfanya nini? very stupid.
wengine tungebaki viwiliwili tuu bila kiungo chochote!!Mimi naona alichofanya ni sawa kabisa maana maandiko matakatifu yanasema kama kiungo chako kimekukosesha basi kikate na ukitupe majini.
Ataikumbuka dushelele, halafu hana, pole yake kwa ujinga, kwani angewakataa hao madem wangemfanya nini? very stupid.
Hata baada ya kukata akaweza kuongea? Atakua sio binadamu.....