Afya

maji ni uhai...lol...e bana mm napiga glass mbili asubuhi kabla ya swala lolote...najisikia fiti sana...
 
Taman atokee wa kunipa experiens ya kunywa maji mengi bila kula!asante kwa ujumbe maji ni uhai!
 
maji ni uhai...lol...e bana mm napiga glass mbili asubuhi kabla ya swala lolote...najisikia fiti sana...
Yan mi nilidhani lita 2...? Lol unajidai kwa ka-glass ???
Kunywa lita moja kabla hujapiga mswaki...then kaa saa nzima ndo ule cha asubuhi
 
Back
Top Bottom