maji ni uhai...lol...e bana mm napiga glass mbili asubuhi kabla ya swala lolote...najisikia fiti sana...
Taman atokee wa kunipa experiens ya kunywa maji mengi bila kula!asante kwa ujumbe maji ni uhai!
habari yasiku bro.? Nakusalimu.
Shemeji at your service puliiiizzzz!...
Shem wangu salama?raha ya kunywa maji uwe fresh tumbon other wise......!
Yan mi nilidhani lita 2...? Lol unajidai kwa ka-glass ???maji ni uhai...lol...e bana mm napiga glass mbili asubuhi kabla ya swala lolote...najisikia fiti sana...
Wewe hujambo?helooooo....vip semista bado kwisha?....kitambo mdogo wangu nakumis mbaaya!...
Mambo Canta!Shem wangu salama?raha ya kunywa maji uwe fresh tumbon other wise......!
Ni nzuri sana ingawa salamu si yangu pia nimekumiss sana dogo wetu wa ukwelihabari yasiku bro.? Nakusalimu.
Ni nzuri sana ingawa salamu si yangu pia nimekumiss sana dogo wetu wa ukweli
helooooo....vip semista bado kwisha?....kitambo mdogo wangu nakumis mbaaya!...