Bila ugawaji wa dawa za ARV huu UKIMWI ungeshaisha miaka mingi sana

Braza Kede

JF-Expert Member
Nov 1, 2012
1,670
3,317
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
 
Hizi akili za kijinga sa
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
Na kwahiyo mzungu ndiyo anawasambazia ukimwi?
 
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
Maono ya mpumbavu
 
Hii ni kauli ya kiuaji!Kwa hiyo una maanisha wasipewe dawa wafe alf ndio ubaki wewe ambao hauna.Mbona hii ni roho mbaya sana!wewe mwenyewe unaweza kuta unao au huyo uliyenae anao ila haujijui.Binadamu ni very selfish sana jamani ikiwa yeye hana changamoto ambayo mtu mwingine anayo hawezi kujiwekq katika hali zao
 
Hawa ni madogo wa juzi hawaufahamu UKIMWI wanabwatuka tuu sababu kumetulia. Dawa zimeanza 2005 waya umeanza 89 bongo hii, Muongo mmoja watu tunawazika na haukuisha, ungekuwa mhenga ulishuhudua waya wa enzi hakuna dawa huwezi kuleta wazo fyatu kama hili.

Usilete masikhara na UKIMWI bwamdogo.
 
Ukimwi ungekuwa wa moto balaa ukigusa tu imoo, ARV zinasaidia mno hadi tunahisi kama ukimwi haupo, kwasababu unaweza uza mechi kwa muathirika kama anatumia dawa vizuri hakuambukizi.
Niliuguza uncle miaka ya 99 huko duh! Mtu kalala kitandani akiongea unasikia sauti tu yeye haonekani , ametafunwa nyama kabaki mifupa mitupu, mkanda wa jeshi + maupele kama yote, ukimwi wa zamani ukichapa leo ukaukwaa ndani ya wiki moja tu balaa linaanza.
 
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
Uamke uende wap?
Kwani umelala
 
Noma sana aisee ni bora hayo mavubaza yanasaidia sana maana enzi zile watu walikuwa wanaondoka na kilo mbili kweli kabisaaaa wala sio utani, kimsingi watoto wa miaka hii hamjui jinsi ngoma ilivyokua kabla ya haya manjugu kuwa mengi ilikuwa aibu kifo cha fedheha sasahivi watu wanaishi bana, ashukuriwe aliyeleta mbaazi aka njugu watu wanatoa shavu na tacle kama vile hawana moto,
 
wakuu narudia tena kama arv zisingekuwepo basi huu ukimwi ungeisha wenyewe.

Kwavipi?

Wale waliokwishaupata wangeenda mbele ya haki ila baada ya apo kungekuwa na tahadhari ya kufa mtu kwa hao ambao wangebaki.

Hivo ndio akili ya binadam ilivyo. akiona hatari mbele yake basi na tahadhari inakuwa kubwa.

Hiyo ingemaanisha maambukizi yangekuwa machache sana au hata yangeisha kabisa.

Leo hii maambukizi bado yapo kwa sababu watu hawamuoni huyo mgonjwa anayeumwa na ndomaana hawauogopi tena ukimwi matokeo yake wanaishia kuupata.
 
wakuu narudia tena kama arv zisingekuwepo basi huu ukimwi ungeisha wenyewe.

Kwavipi?

Wale waliokwishaupata wangeenda mbele ya haki ila baada ya apo kungekuwa na tahadhari ya kufa mtu kwa hao ambao wangebaki.

Hivo ndio akili ya binadam ilivyo. akiona hatari mbele yake basi na tahadhari inakuwa kubwa.

Hiyo ingemaanisha maambukizi yangekuwa machache sana au hata yangeisha kabisa.

Leo hii maambukizi bado yapo kwa sababu watu hawamuoni huyo mgonjwa anayeumwa na ndomaana hawauogopi tena ukimwi matokeo yake wanaishia kuupata.
Mawazo yako yawekwe kabatini kwa matumizi ya baadaye.
-magari yasiwekewe breki ili madereva wanaoendesha kwa mwendokasi wafe wote wabaki wastaarabu.
 
Kama kusingekuwa na ugawaji wa hizi dawa za kufubaza makali ya virus ni wazi vizazi vya leo vingekuwa vinausoma UKIMWI kwenye maandiko kama vile leo hii tunavyosoma habari za sulua, tauni na magonjwa mengine yaliyobaki kuwa historia kuwa yaliwahi kutokea siku za nyuma.

Wakati umefika sasa waafrika na sisi tuamke na kuwa suluhu kwa matatizo yetu.

Mm naona huyu mzungu anatupoteza kwa maslahi yake binafsi.

HIV ni halisi tujikinge wandugu.
Aisee unakosea Ukimwi ndio ungekuwa tishio zaidi sababu mtu anapopata ukimwi uchukua muda mrefu kugundua kama ameambukizwa so dawa zinasaidia coz anaetumia dawa vizuri na kwa muda mrefu kuanzia miezi sita na kuendelea inakuwa ngumu kumuambukiza mwingine
 
Back
Top Bottom