The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,899
Kila mara kuna tokea taarifa ambayo pengine haiko sahihi ...inaachwa mda mrefu Sana watu wanaamini na wenye kudhurika Wana dhurika halafu inapita miaka ndo wizara inakuja na tamko....
Mwarobaini...hii imani kuwa mti wa mwarobaini unatibu magonjwa zaidi ya 40 ilienea Kwa miaka kabla ya wizara kuja kutoa tahadhari ya sumu Kwenye mmea huo ...
Mafuta ya ubuyu...hii nayo ilizuka ikawa biashara kuubwa mno ...kabla ya wizara kuja na tahadhari ya kiafya......
Mayai ya kwale... sijui wangapi waletapeliwa na sikumbuki kama wizara hata ilikuja kutoa tamko lolote au ilikufa yenyewe hii biashara....
Juzi wizara inasema kunywa maji mengi nayo sio afya ila ni hatari
Watu tumeaminishwa Kwa miaka kunywa Lita za kutosha kila siku Leo wizara inasema tunywe kiasi maji mengi Yana hatari... seriously?
Matunda mchanganyiko...hii nayo imekuwa biashara kuubwa Hadi kwenye mabaa Hadi maofisini miaka na miaka...Leo wizara ndo inaamka kusema ni hatari Kwa afya??
Why wizara hii inachukulia afya za wananchi poa Sana??
Mwarobaini...hii imani kuwa mti wa mwarobaini unatibu magonjwa zaidi ya 40 ilienea Kwa miaka kabla ya wizara kuja kutoa tahadhari ya sumu Kwenye mmea huo ...
Mafuta ya ubuyu...hii nayo ilizuka ikawa biashara kuubwa mno ...kabla ya wizara kuja na tahadhari ya kiafya......
Mayai ya kwale... sijui wangapi waletapeliwa na sikumbuki kama wizara hata ilikuja kutoa tamko lolote au ilikufa yenyewe hii biashara....
Juzi wizara inasema kunywa maji mengi nayo sio afya ila ni hatari
Watu tumeaminishwa Kwa miaka kunywa Lita za kutosha kila siku Leo wizara inasema tunywe kiasi maji mengi Yana hatari... seriously?
Matunda mchanganyiko...hii nayo imekuwa biashara kuubwa Hadi kwenye mabaa Hadi maofisini miaka na miaka...Leo wizara ndo inaamka kusema ni hatari Kwa afya??
Why wizara hii inachukulia afya za wananchi poa Sana??