Asipewe hata maji huyo, mpaka awataje wote.
Haya jengeni mfumo ISLAMU kwa kukamata wakristo!.. Ni tatizo la kutoruhusu kichwa chako kufikiri!.. Shehe ILUNGA ametoa CD iliyorekodiwa bila kificho na kutoa maagizo kwa waislamu waue MAASKOFU, MAPADRE, WALEI na wakristo wengine. CD hii imeenea kila mahali na kila mkoa ipo. Makanisani na misikitini inajadiliwa!.. CHA AJABU HUYU KWA KUWA NI MWISLAMU HAJAKAMATWA ni miezi 6 tangu atende uhalifu huu!... Matokeo ya maagizo yake tumeyaona makanisa 26 yamechomwa moto bara na visiwani, padre mmoja kauawa, mmoja kajeruhiwa kwa risasi na mchungaji mmoja kauawa.