Nilikuwepo siku anachukua na kurudisha fomu Dodoma, leo nilikuwepo Ufipa wakati anachukua fomu. Kwa kweli Afya ya mzee wetu kwa siku ya leo na siku ile pale Dodoma tofauti sana. Leo alionekana akiwa mwenye furaha sana, Ameweza kushika mike vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto ambao ndio ulikuwa unamsumbua sana alipokuwa ccm.
Ameweza kuishika na kuibeba fomu vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto.
Ugeukaji wake pia umeboreka, alipomaliza kusema peoples power aligeuka kwa speed kubwa na kumkabidhi mic Mr.Mbowe. Zile slow motion za ccm kaziacha huko huko magambani.
My take:
Ukikaa na maibilisi na majambazi kama magamba hata afya yako inazorota. Nakushauri Mzee achana na marafiki wote uliokuwa nao kwa mashetani ccm.....
Nilikuwepo siku anachukua na kurudisha fomu Dodoma, leo nilikuwepo Ufipa wakati anachukua fomu. Kwa kweli Afya ya mzee wetu kwa siku ya leo na siku ile pale Dodoma tofauti sana. Leo alionekana akiwa mwenye furaha sana, Ameweza kushika mike vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto ambao ndio ulikuwa unamsumbua sana alipokuwa ccm.
Ameweza kuishika na kuibeba fomu vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto.
Ugeukaji wake pia umeboreka, alipomaliza kusema peoples power aligeuka kwa speed kubwa na kumkabidhi mic Mr.Mbowe. Zile slow motion za ccm kaziacha huko huko magambani.
My take:
Ukikaa na maibilisi na majambazi kama magamba hata afya yako inazorota. Nakushauri Mzee achana na marafiki wote uliokuwa nao kwa mashetani ccm.....
Nilikuwepo siku anachukua na kurudisha fomu Dodoma, leo nilikuwepo Ufipa wakati anachukua fomu. Kwa kweli Afya ya mzee wetu kwa siku ya leo na siku ile pale Dodoma tofauti sana. Leo alionekana akiwa mwenye furaha sana, Ameweza kushika mike vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto ambao ndio ulikuwa unamsumbua sana alipokuwa ccm.
Ameweza kuishika na kuibeba fomu vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto.
Ugeukaji wake pia umeboreka, alipomaliza kusema peoples power aligeuka kwa speed kubwa na kumkabidhi mic Mr.Mbowe. Zile slow motion za ccm kaziacha huko huko magambani.
My take:
Ukikaa na maibilisi na majambazi kama magamba hata afya yako inazorota. Nakushauri Mzee achana na marafiki wote uliokuwa nao kwa mashetani ccm.....
Unajua mtihani wa darasa la saba na kidato cha sita si sawa.
Mwenyewe fanya hesabu za darasa la nne kama hivi: Pesa aliyoitumia Lowasa siku ya kwanza alipotangaza nia kule Monduli akiwa CCM toa pesa aliyotumia kutangaza nia akiwa CHADEMA kwa mara ya kwanza. Ukipata jibu ndio utaelewa ninacholizungumzia.
Pili wakati ule kila kukicha mgombea mpya mpaka wakafika 41, huku CHADEMA sijui wamechukua wangapi pengine kama mmembembeleza Dr Slaa.
hii ccm kiboko .. kwa hiyo siku hizi wanatumia mapepo badala ya polonium...Ameweza kushika mike vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto ambao ndio ulikuwa unamsumbua sana alipokuwa ccm.... Zile slow motion za ccm kaziacha huko huko magambani. My take:
Ukikaa na maibilisi na majambazi kama magamba hata afya yako inazorota. Nakushauri Mzee achana na marafiki wote uliokuwa nao kwa mashetani ccm.....
ukweli lowasa anajilaumu sana, angekuwa kahamia tangu zamani hizi pesa alizotapanya kununua wadhamini angezitumia kwenye kampeni za chadema zingekuwa na tija sana.
Mgonjwa mmoja aliyetemwa na CCM ni bora kuliko chadema yote.
Mgonjwa mmoja aliyetemwa na CCM ni bora kuliko chadema yote.
wagonjwa huenda kwa Babu, Samunge.nina picha za walokwenda huko mmoja anafanana na wa MCC
I rarely like your posts; this one is very powerful!Mgonjwa mmoja aliyetemwa na CCM ni bora kuliko chadema yote.
Leo kaongeza dozi.
Nilikuwepo siku anachukua na kurudisha fomu Dodoma, leo nilikuwepo Ufipa wakati anachukua fomu. Kwa kweli Afya ya mzee wetu kwa siku ya leo na siku ile pale Dodoma tofauti sana. Leo alionekana akiwa mwenye furaha sana, Ameweza kushika mike vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto ambao ndio ulikuwa unamsumbua sana alipokuwa ccm.
Ameweza kuishika na kuibeba fomu vizuri sana kwa kutumia mkono wake wa kushoto.
Ugeukaji wake pia umeboreka, alipomaliza kusema peoples power aligeuka kwa speed kubwa na kumkabidhi mic Mr.Mbowe. Zile slow motion za ccm kaziacha huko huko magambani.
My take:
Ukikaa na maibilisi na majambazi kama magamba hata afya yako inazorota. Nakushauri Mzee achana na marafiki wote uliokuwa nao kwa mashetani ccm.....