Afya ya Ferouz yaendelea kudorora

Ndio. Ni UJASIRIAMALI flani hivi anafanya time hz mziki unamgomea. Lakini yeye mwenyewe yupo na ile kubwa for personal consumption. In short gari limewaka.
 
Mazingira niliokulia ktk kpndi kati ya O level na A level, nilikutana na vichwa vingi kwa ukaribu sana. The Dudu, Squizer, Fa na Kali P just to mention the few. Thanks to God, sikuwahi kuwa inspired nao.
 
Nadhani ipo haja ya uongozi serikalini kuingilia kati ili kuwaokoa hawa vijana vinginevyo watateketea aiseee
 
Leo nilikuwa nasikiliza redio asubui (nadhani BBC) wakawa wanaongelea sober houses Tanzania wanahoji walioanzisha hiyo makitu...
Nikafikiria sana nikaona hili tatizo la unga wangejaribu njia nyingine...
Maana wengi wa walioingia humo (kwenye unga) hawatoki...wataenda sober house baada ya miaka wanarudia kutumia...eti mmoja akasema tatizo mazingira...
mtu anaacha afu anarudi alikotoka na kukutana na mateja ni raisi kurudia...
Mi naona sio isuue pia..sasa mtu ataenda kusihi wapi? Ilala meteja wapo, posta wapo, mbagala wapo...

DAWA ni kuwakinga wale ambao hawajaanza...
Itolewe elimu endelevu mashuleni kuanzia shule za msingi kuhusu madhara ya haya madawa...ukiingia hakuna njia ya kutokea...ingekuwepo kina Whitney wasingekufa...Hizo NGOs zinge focus kwa vijana ambao bado hawajalambishwa hayo makitu...hao walokwisha lamba ni kupoteza ela tu (si kuwa siwahurumii...ila hiyo ndio fact)
 
Leo nilikuwa nasikiliza redio asubui (nadhani BBC) wakawa wanaongelea sober houses Tanzania wanahoji walioanzisha hiyo makitu...
Nikafikiria sana nikaona hili tatizo la unga wangejaribu njia nyingine...
Maana wengi wa walioingia humo (kwenye unga) hawatoki...wataenda sober house baada ya miaka wanarudia kutumia...eti mmoja akasema tatizo mazingira...
mtu anaacha afu anarudi alikotoka na kukutana na mateja ni raisi kurudia...
Mi naona sio isuue pia..sasa mtu ataenda kusihi wapi? Ilala meteja wapo, posta wapo, mbagala wapo...

DAWA ni kuwakinga wale ambao hawajaanza...
Itolewe elimu endelevu mashuleni kuanzia shule za msingi kuhusu madhara ya haya madawa...ukiingia hakuna njia ya kutokea...ingekuwepo kina Whitney wasingekufa...Hizo NGOs zinge focus kwa vijana ambao bado hawajalambishwa hayo makitu...hao walokwisha lamba ni kupoteza ela tu (si kuwa siwahurumii...ila hiyo ndio fact)

Tuliwahi kuijadili hii na dada mmoja hapa JF, kwakweli viongozi wa dini kwenye jumuia, walimu, polisi pia wawe wanapita mashuleni angalau mara moja kwa term kuwapa wanafunzi somo la madhara ya madawa ya kulevya. Hili ni tatizo sugu, Sinza imeharibika sana sasa hivi.
 
Tuliwahi kuijadili hii na dada mmoja hapa JF, kwakweli viongozi wa dini kwenye jumuia, walimu, polisi pia wawe wanapita mashuleni angalau mara moja kwa term kuwapa wanafunzi somo la madhara ya madawa ya kulevya. Hili ni tatizo sugu, Sinza imeharibika sana sasa hivi.
Unaishi Sinza?
 
Tuliwahi kuijadili hii na dada mmoja hapa JF, kwakweli viongozi wa dini kwenye jumuia, walimu, polisi pia wawe wanapita mashuleni angalau mara moja kwa term kuwapa wanafunzi somo la madhara ya madawa ya kulevya. Hili ni tatizo sugu, Sinza imeharibika sana sasa hivi.
Point saaana umenena
 
Hadi wimbo walimtungia..uliitwa kijana mteja..halafu nasikia Pablo wa daz nundaz amevuta kitambo? Ni kweli?
Huyu jamaa bhana, Kuna kipindi alimuundia zengwe Daz Baba kisa uteja. Daz Baba alikuwa na show Iringa, akategemea masela wake wa kutoka Sinza waje wampe company. Huyu mjomba akawashika masikio Daz Nundaz na washkaji wengine wasiende na akasema Daz Baba sio mwenzao kwasababu mteja, leo kiko wapi? Kabaki tu na sura kama kibaka vile.
 
Back
Top Bottom