steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,574
- 10,285
ha ha ha ha naona muvi bado inatembea kichwani kwako.......bahati yako umeona live porn kati ya mandingo na cheriokee
ha ha ha ha naona muvi bado inatembea kichwani kwako.......bahati yako umeona live porn kati ya mandingo na cheriokee
Mbona alishatoa mrejesho! Acha kumsumbua mwenzio Leo ameolewaMoniccca so far nini kinaendelea kwa wafumaniwa hasa majumbani kwao?
Hapo umeuliza swali gumu sanamlioshuhudia hyo mechi live vp,wachezaji walikuwa wanauweza mchezo husika?
Macho hayapaziasasa @ monica na wewe ukawa waendelea kuangalia muvie jamaa alipowalazimisha waendeleee? au ulitoka mbio? tell me movie ilikuwaje?...............
Kwa jinsi maelezo yalivyo nahisi kutakuwa na mtu aliekuwa najua kinachoendelea na amevujisha siri kwa mume wa huyo mdada, ila mgegedo ofisini, dah!!!!Daah fumaniz la mwaka itakua uyo mwanaume alishahisi kitu
Kwani Lazima kuolewa ukiamua unaweza tu ukaishi mwenyew bila ata kukojoleshwa na vibamia usivijue uchaguz ni wako ndoa ni kwa wenye akili timamu hasaHizi ndoa zisikie tu humo vyumbani, ukute dada wa watu hajawahi kojoleshwa tangu ameingia ndoani na mbaya zaidi gunzi lenyewe kibamia....akiguswa tu ashajikojolea!!! Omba Mungu sana.
Hadithi hii ni ya uongo tu, tukio hili ni la uzushi.Mkuu hapo sio kama mnara umesimama, ila wanakuwa kama wanachezesha miili wakati vifanyio vikiwa vimesalim amri tayari
Mwanamme sikuzote kosa lake halionekani na hata akifanya kosa kama hilo jamii haimtizami sana kama atakapofanya mwanamke na yeye ndio mwanamke alitakiwa aheshimu ndoa yake mwanamme mie daima huona kwenye jambo kama hiliMbona unaangalia upande mmoja wa aliyevua ili hali ana mume kwake? Na huyu bosi? Atakuwa hana mke kwake? Lakini, kwanini ofisini? Nway, utamu wa chakula ukila njaa inapokushika.
Jipu la kwapani au makarioni?HUYU BINTI AMESHAKUWA JIPU KWA ULAGHAI...
Huyu bidada mleta uzi si moniccca huyuu ahhhhh basiii ndo yule yule, huyu si ndo yule alianzisha UZI fulani hivi kuwa MPENZI wake hatoi mgegedo mpaka siku ya kufunga pingu za maisha(NDOA) ahhh basiii ni yeye ehh huyu si yule yule leo tarehe 23april-16 asubuhi na mapema alikuwa anatuhabarisha kuwa leo ANAOLEWA ....akawa anachati siku nzima sasa sijuwi kanisani alimuacha bwana harusi akila kiapo peke yakee yeye akiwa busy na simu jf Ndiyooooo.. sasa huyu binti ni JIPU maswala ya kutudanganya fullstop ni wa kuchunguzwa naomba niunde tume ya maadili jf ili imchunguze huyu binti kitabia na kuwahada wa jf kwa story za kizushi.....
Kazi yenyewe huna!!!labda uache kuingia JF,,