The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,079
- Thread starter
- #21
Tunaishi same neighborhood...:eyebrows:umejuaje kuwa leo ni happy birthday to you yake?
Tunaishi same neighborhood...:eyebrows:umejuaje kuwa leo ni happy birthday to you yake?
Sijui kwanini wanakuita AFRODENZI
Happy Birthday, Pumpkin
Happy Birthday, Dear
Happy Birthday, To You
Happy Birthday AFRODENZI
Your Birthday makes this day all more special and beautiful, may sunshine fill your life. Wishing you another year of good health, happiness and prosperity.
Mungu akujalie maisha marefu yenye amani, upendo, utulivu na Mwenyezi Mungu akuongezee Busara, na hekima katika maisha yako akubariki katika kila kitu ufanyacho. Tunawatakia Birthday njema kwa wale wote waliozaliwa siku hii ya leo mbarikiwe sana.....
This goes out to you on your special day
Chris Brown featuring Benny Benassi - Beautiful People - YouTube
Tunaishi same neighborhood...:eyebrows:
Hahaha!!! Ivuga si ndio muda wenyewe nikisubiria asubuhi naweza kuamka ghafla naumwa Malaria:lol:yani ulingojea ilipotimia sa sita tu ukairusha dah..........happy birthday afro d..
Huwa hatujibu maswali ya hivi, you owe nobody any explanation.
''Mtu mzima haulizwi katoka wapi, anaambiwa pole kwa kazi tu.''
dogo leo kavunja rekodi
ya the 'earliest birthday post' aisee
sita kamili sharp.....lol
mimi nasubiri keki ikatwe tu sasa....lol
Kheee kheee kuna watu huwa wanapenda kujaribu kama mafuta ya petrol yanafanya kazi kwenye genereta au lahHuwa hatujibu maswali ya hivi, you owe nobody any explanation.
''Mtu mzima haulizwi katoka wapi, anaambiwa pole kwa kazi tu.''
sipati picha aisee
unavyo washushua watu huko oficin kwenu lol
Kheee kheee kuna watu huwa wanapenda kujaribu kama mafuta ya petrol yanafanya kazi kwenye genereta au lah
:shock: Boss keki muda huu, Boss hebu cheki vizuri ni saa ngapi sasa hivi halafu niambie kama huu ni muda wa keki...loldogo leo kavunja rekodi
ya the 'earliest birthday post' aisee
sita kamili sharp.....lol
mimi nasubiri keki ikatwe tu sasa....lol
:shock: Boss keki muda huu, Boss hebu cheki vizuri ni saa ngapi sasa hivi halafu niambie kama huu ni muda wa keki...lol
Kichanga kinatumia akina John Mtembezi hadi shots za Cocktail, tuko Club 50/50 kama unajua ilipoKichanga kinatumia jamii za akina John mtembezi, sio pampaz tu?
Mkiniambia mko wapi naja sasa hivi, wengine ni popo tunaona zaidi gizani.
sasa dogo hiki kibarua cha kuhakikisha
saa sita kamili sharp uko macho ku post birthday ndo kimeanza sio? lol
au zile zingine utamuachia Ashadii ....ujifanye ulisinzia?????lol....
nina uhakika 'umezua deni hapa leo' lol
Kichanga kinatumia akina John Mtembezi hadi shots za Cocktail, tuko Club 50/50 kama unajua ilipo
Hahahaha!!! Dah ishakuwa kesi hii, aisee zaidi ya deni...lolsasa dogo hiki kibarua cha kuhakikisha
saa sita kamili sharp uko macho ku post birthday ndo kimeanza sio? lol
au zile zingine utamuachia Ashadii ....ujifanye ulisinzia?????lol....
nina uhakika 'umezua deni hapa leo' lol
Hahahaha!!! Dah ishakuwa kesi hii, aisee zaidi ya deni...lol