figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,492
- 54,895
Salaam Wakuu,
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.
Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri
Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.
Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.
Mungu anajibu maombi.
Top 11 African Countries With Quality Road🛣
1: Namibia🇳🇦 (score 5.2) world ranking 23
2: Egypt 🇪🇬(Score 5.0)world ranking 28
3: South Africa🇿🇦 (score 5.0) world ranking 29
4: Rwanda🇷🇼 (score 5.0) world ranking 31
5: Ivory Coast🇮🇪 (score 4.7) world ranking 42
6: Mauritius🇲🇺 (score 4.7) world ranking 44
7: Morocco🇲🇦 (score 4.4) world ranking 55
8: Kenya🇰🇪 (score 4.2) world ranking 61
9: Botswana🇧🇼 (score 4.1) world ranking 64
10: Cape Verde🇨🇻 (score 4.1) world ranking
11: Senegal🇸🇳 (score 4.0) world ranking 71
🌐Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index
Huwa nasikia watu wanamsifia Magufuli eti ni Baba wa Barabara/Mabarabara, hakutaka Demokrasa Nchini eti yeye ni Hapa kazi tu.
Lakini hakuna kazi hata moja alofanya inatambulika kwa watu wenye akili zao wanaojua nzuri na au maendeleo ni nini.
Hayati Magufuli alivyokuwa anajisifia hadi kujiita Askari wa Mwamvuli kwa kufanya kazi ya barabara vizuri
Umasikini Ujinga na Maradhi; Kundi la Wajinga likapumbaza Taifa eti Hayati ni Mchapa kazi kajenga barabara, sijui Nchi iliibiwa sana hivyo kaongea na Barrick watalipa Kodi trilioni zaidi ya 347, huku bajeti ya nchi kwa mwaka ikiwa haifiki trilioni 40.
Haya mambo ya kumsifia hayati Magufuli tuwaachie Wananchi wa Chato japo hajawahi kuwa hata balozi wao wa nyumba kumi.
Mungu anajibu maombi.
Top 11 African Countries With Quality Road🛣
1: Namibia🇳🇦 (score 5.2) world ranking 23
2: Egypt 🇪🇬(Score 5.0)world ranking 28
3: South Africa🇿🇦 (score 5.0) world ranking 29
4: Rwanda🇷🇼 (score 5.0) world ranking 31
5: Ivory Coast🇮🇪 (score 4.7) world ranking 42
6: Mauritius🇲🇺 (score 4.7) world ranking 44
7: Morocco🇲🇦 (score 4.4) world ranking 55
8: Kenya🇰🇪 (score 4.2) world ranking 61
9: Botswana🇧🇼 (score 4.1) world ranking 64
10: Cape Verde🇨🇻 (score 4.1) world ranking
11: Senegal🇸🇳 (score 4.0) world ranking 71
🌐Source: World Economic Forum’s Global Competitiveness Report Index