mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 10,518
- 19,883
Hata Simu zikiwa ndani ya South zinafungwa.,,lakini ukitoka nje ya south Africa,, automatically zinakuwa unlocked..sasa mbona kwenye simu tunapigwa tu? au akili hiyo ni kwa tv tu?
Ila zinafunguka.
IPhone pekee hazifunguki...hata nje ya south Africa.
Hata kwa TV halikadhalika zikifungwa ,,zikiwa nje ya south zinatumika..