Huo pia ni Ubaguzi tukija kwenye diplomaciaNenda mbagala indian primary school ukashangae zaidi shule ipo tanzania lakini wahindi ni 99%
Sent using Jamii Forums mobile app
Jawabu yake ni Quran 49:13 "Enyi watu Hakika sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezimungu ni huyo aliye mchamungu zaidi katika nyinyi......Kwanini mungu alituumba rangi tofaut? Tatizo linaanzia hapo kabla ya kuwalaum wazungu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni chizi au kichaa?Jawabu yake ni Quran 49:13 "Enyi watu Hakika sisi tumekuumbeni kutokana na mwanamume na mwanamke. Na tumekujaalieni kuwa ni mataifa na makabila ili mjuane. Hakika aliye mtukufu zaidi kati yenu kwa Mwenyezimungu ni huyo aliye mchamungu zaidi katika nyinyi......
Gangs za wazulu zipo South ila hawana kiburi cha kuwafanyia wazungu wenyewe wana deal na waafrika wenzao.
Wale wazungu wenyewe ni vichwa vibovu kuliko mzulu yale makaburu asili yao ni Dutch na Germany ni makatili na hayaogopagi. Ndio maana kwenye xenophobia attack Hayupo mzulu aliegusa Mali zao. Yana machine gun yakinyanyua mpaka magazine iishe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli tena hata sisi tunabaguana aliye na ngozi nyeupe anajiona bora kuliko mwenye ngozi nyeusi hata kama wote ni wa Afrika
Its simple, katika maisha its the one with pen who control the story. Wazungu ndio walikuwa na pen ya kuandika story ya Dunia na Dini hivyo kwao wao Mungu ni babu mmoja wa kizungu anaekaa juu huko kwenye mawingu na shetani yeye ni mweusi tii asie na makazi maalumu na mwisho wa picha Mzungu anatuambia atamkamata shetani mweusi amtupe jehanamu na wafuasi wake.
Hata kama ni wewe lazma ufanye juhudi za kuukimbia ushetani kwa kutoka kwenye uafrika na kukimbilia uzunguni kwa Mungu.
Its pure psychology manipulation.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama wa mtoto katika shule ya awali ya Laerskool Schweizer-Reneke iliyopo katika jimbo la North West huko Afrika Kusini, amechukizwa vikali baada ya picha inayomuonesha mtoto wake wa kike na watoto wengine watatu wa Kiafrika wakiwa wamekaa peke yao mbali na watoto wengine wa kizungu kwenye darasa lao. Picha hiyo ambayo inasambaa kwa kasi mtandaoni, imesababisha hasira kubwa kwa raia wa nchi hiyo kutokana na kuwa na ishara ya ubaguzi wa rangi.
Picha hiyo ilitumwa kwenye kundi la WhatsApp la shule hiyo na mwalimu wa darasa. "Hii ilipaswa kuwa siku ya kufurahisha kwangu lakini sio,” amesema mzazi huyo. Mama huyo ambaye hakutajwa jina kulinda utambulisho wa mwanae, ameiambia tovuti ya TimesLIVE ya nchini humo kuwa siku ya kwanza katika darasa hilo ilianza vizuri.
Yeye na wazazi wengine waliwapeleka watoto wao na kuambiwa waondoke katika eneo la shule. Saa tatu asubuhi walitumiwa taarifa kutoka kwa mwalimu wa watoto hao kuhusu siku ilivyokwenda kupitia WhatsApp group. Picha hiyo ilionesha watoto 18 wa kizungu wakiwa darasani wamekaa dawati moja lililounganishwa katikati ya darasa, wakati watoto wanne wa Kiafrika wakiwa wamekaa kwenye dawati moja lililowekwa kwenye kona ya darasa hilo. "Nilichoona ni jumbe toka kwa wazazi wa kizungu wakisema asante asante kwenye WhatsApp group, lakini hakuna yeyote aliyesema kuhusu walivyotenganishwa,” alisema mzazi huyo.
Amesema baada ya kujadiliana na mzazi mwingine nje ya WhatsApp group, mzazi huyo aliwasiliana na mkuu wa shule kuuliza kuhusu ukaaji wa watoto hao darasani. TimesLIVE imedai mkuu huyo wa shule alisema hakuwa na taarifa za suala hilo. Wamedai kuwa wanasubiri jibu toka kwa shule hiyo.
Alipoulizwa kuhusu anavyojisikia kutokana na hali hiyo, mama huyo amesema ana matumaini kuwa mwanae mwenye umri wa miaka mitano bado ni mdogo kuweza kutambua kilichotokea.
"Lakini nimechukia,” alisema mama huyo aliyeahidi kuchukua hatua zaidi.
Source: Bongo5View attachment 990332
Unambaguaje Mzungu sasa? Wakati hata smartphone unayotumia ni yake. Boycott smartphone kwanza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo aliniambia dada mmoja ni muarab wa huku nikajua kejeli tu kumbe kweliKwa akili yako Unadhani hizo Nchi sijatembea ukiona mweusi anaoa huko Oman ujue huyo ni mzawa wenyewe wana waita BULUSHI. Sheria za Nchi hizo unazijua wewe au unafurahisha jukwaani, Mfano Oman sheria yao Mwananchi wa Nchi hiyo huluhusiwi kuoa/kuolewa na Nchi yoyote labla atakaye kuoa/kuolewa awe mlemavu au mzee kuanzia miaka 60 yaani unidanganyi kitu kuhusu hizo Nchi.
Ni kweli mkuu hata mzawa wa huku mwenyewe alisemaHujui kuhusu oman, kaa kimya tu.
🤣🤣🤣🤣Hao usibishane hata Oman hawakujui
Ningekuwa mie ndio mzazi wangenirudishia fedha ya ada nimpeleke shule yenye walimu wanaojitambua.Mama wa mtoto katika shule ya awali ya Laerskool Schweizer-Reneke iliyopo katika jimbo la North West huko Afrika Kusini, amechukizwa vikali baada ya picha inayomuonesha mtoto wake wa kike na watoto wengine watatu wa Kiafrika wakiwa wamekaa peke yao mbali na watoto wengine wa kizungu kwenye darasa lao. Picha hiyo ambayo inasambaa kwa kasi mtandaoni, imesababisha hasira kubwa kwa raia wa nchi hiyo kutokana na kuwa na ishara ya ubaguzi wa rangi.
Picha hiyo ilitumwa kwenye kundi la WhatsApp la shule hiyo na mwalimu wa darasa. "Hii ilipaswa kuwa siku ya kufurahisha kwangu lakini sio,” amesema mzazi huyo. Mama huyo ambaye hakutajwa jina kulinda utambulisho wa mwanae, ameiambia tovuti ya TimesLIVE ya nchini humo kuwa siku ya kwanza katika darasa hilo ilianza vizuri.
Yeye na wazazi wengine waliwapeleka watoto wao na kuambiwa waondoke katika eneo la shule. Saa tatu asubuhi walitumiwa taarifa kutoka kwa mwalimu wa watoto hao kuhusu siku ilivyokwenda kupitia WhatsApp group. Picha hiyo ilionesha watoto 18 wa kizungu wakiwa darasani wamekaa dawati moja lililounganishwa katikati ya darasa, wakati watoto wanne wa Kiafrika wakiwa wamekaa kwenye dawati moja lililowekwa kwenye kona ya darasa hilo. "Nilichoona ni jumbe toka kwa wazazi wa kizungu wakisema asante asante kwenye WhatsApp group, lakini hakuna yeyote aliyesema kuhusu walivyotenganishwa,” alisema mzazi huyo.
Amesema baada ya kujadiliana na mzazi mwingine nje ya WhatsApp group, mzazi huyo aliwasiliana na mkuu wa shule kuuliza kuhusu ukaaji wa watoto hao darasani. TimesLIVE imedai mkuu huyo wa shule alisema hakuwa na taarifa za suala hilo. Wamedai kuwa wanasubiri jibu toka kwa shule hiyo.
Alipoulizwa kuhusu anavyojisikia kutokana na hali hiyo, mama huyo amesema ana matumaini kuwa mwanae mwenye umri wa miaka mitano bado ni mdogo kuweza kutambua kilichotokea.
"Lakini nimechukia,” alisema mama huyo aliyeahidi kuchukua hatua zaidi.
Source: Bongo5View attachment 990332
Ni kweli na ni sheria huko Oman, India huwa wanaikubali sheria hiyo ila Mwanamke wa Africa sijawahi kusikia mahali anaolewa.Hiyo aliniambia dada mmoja ni muarab wa huku nikajua kejeli tu kumbe kweli
Sent using Jamii Forums mobile app
Hasa zamani wanawake wa kiafrika waliolewa lakin sahv si dhanNi kweli na ni sheria huko Oman, India huwa wanaikubali sheria hiyo ila Mwanamke wa Africa sijawahi kusikia mahali anaolewa.