Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 18,657
- 22,254
Mbona hapa wapinzani wanatengwa na wanawindwa kama panya.Wanaobisha kwa weupe si wabaguzi hawajatembea hao hata kama na sisi wabaguzi ila wenzetu wamezidi ukiishi na watu weupe uchangii nao kitu hata vyombo wanakutenga kama muathirika wa TB
Sent using Jamii Forums mobile app