Afrika Kusini: Mchungaji Alph N Lukau afufua maiti na kuacha gumzo kubwa

Wewe hilo ndo linakufanya uone ni nabii wa uongo?? Je kama muumini ndo kaamua kujitafutia umaarufu??
Nimewaza kwamba huu ni mtego aliwekewa maana kwa jisni scenario ilivyo nahisi wa south wamemiwekea mtego .Pstor huyu ni mkongoman na wasaouth awataki kabisa watu kutoka mataifa maengine ya afrika kuwa juu yo ,mfano wamemtengenezea bushiri jungu mpka katolewa sasa nadhani ilikuwa ni huyu kabakia sababu ukiangalia pastor alikuwa anaendelea na ibada mara akaambia nje kuna mwili ulikuwa unapitishwa ila kufika maeneo haya ukaanza kupumua, so pastor akaamua kutoka nje so baada ya tukio hili wasouth waliiomba serikali ndio mana SBC waliamua kwenda Mortuary kuuuliza kwamba je kuna mwili ulikuwa huku wakakataa wakasema hamna ,so hii nahisi ilikuwa mtego na wamefanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Matapeli Walishaona Kuna Uhuru Na Amani Kuuchafua Ukristo Hawafanywi Kitu. Wanaogopa Kipondo Kuuchafua Uislam. Waislam Wangeandamana Dunia Nzima Na Kumtia Adabu Huyo Nabii Feki
Uislam hakuna cha nidhamu ya uoga wala hakuna mtu au sheikh au yeyote aliye juu ya mwenzake.Muislam anasali popote pale hategemei mtu kufikisha maombi yake kwa Mungu
FaizaFoxy
THE BIG SHOW
Ritz
 
walokole ni wapuuzi tu, siku moja mtaani kuna familia ilifiwa na mtoto. wkaitwa mzee 1 kwenda kuona basi mzee akasema mtoto amesha fariki huyu ufanywe utaratibu kwenda hospital kuhakikisha na kuhifadhi mwili

yule mama akampigia mchungaji wao (mlokole) akadai mtoto asipelekwe hosp. ajafa anakuja muombea. siku nzima walishinda wana muombea dogo na hakufufuka

yule mzee ali mind sana, maana alionekana kama yeye ndo alitoa taarifa za kifo ili hali dogo mzima. siku ya 2 wakakubali amefariki ndo kuzika

walokole wa sasa ni wapuuzi tu
 
Huku kwetu kuna mchungaji wa kilokole alifiwa na binti yake (alikuwa anatoa mimba akiwa form four). Sasa karibia na muda wa mazishi, kunamama mmoja, muumini wake, akatoka uko et msizike mungu amenituma kumfufua huyu. Akaanza maombi kwa masaa ma 4 wapiii. Alipoona ameshindwa akaanza kusema Mungu ameniambia nisimfufue kwa sababu kifo hichi kina makusudi yake, na asiwepo wa kupinga maamuzi ya mungu. Ilibaki aibu tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimewaza kwamba huu ni mtego aliwekewa maana kwa jisni scenario ilivyo nahisi wa south wamemiwekea mtego .Pstor huyu ni mkongoman na wasaouth awataki kabisa watu kutoka mataifa maengine ya afrika kuwa juu yo ,mfano wamemtengenezea bushiri jungu mpka katolewa sasa nadhani ilikuwa ni huyu kabakia sababu ukiangalia pastor alikuwa anaendelea na ibada mara akaambia nje kuna mwili ulikuwa unapitishwa ila kufika maeneo haya ukaanza kupumua, so pastor akaamua kutoka nje so baada ya tukio hili wasouth waliiomba serikali ndio mana SBC waliamua kwenda Mortuary kuuuliza kwamba je kuna mwili ulikuwa huku wakakataa wakasema hamna ,so hii nahisi ilikuwa mtego na wamefanikiwa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kesi ya bushiri imeishiaje Kaka?
 
Moses Kulola alikufa na ulokole wa kweli. Waliobaki 99% ni wapigaji. Ila jamaa wametajirika sana si mchezo !!!
Ulokole wote ni upi?

Kuna mauza uza kwa walokole sikatai ila watu wanaomfuata Kristo pia wapo. Tufahamu hilo.

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo
 
Maana halisi ya ulokole haijaeleweka kwa wengi. Huo wa huyu tapeli sio ulokole ni utapeli wa kusaka tonge tu!
Someni maandiko muelewe... siku za mwisho kutakuwa na vioja vya kila aina... Asomaye na afahamu. Usiposoma utakuwa mtu kwa kurushwa rushwa tu na matukio kama haya! Tunaofahamu hii haitusumbui
 
Back
Top Bottom