Afrika Ijitegemee Huduma za Afya - PM Nchemba

Afrika Ijitegemee Huduma za Afya - PM Nchemba

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
716
Reaction score
642
Nchi za Afrika zinapaswa kujenga uwezo wake wa ndani wa kugharamia, kusimamia na kuzalisha mahitaji muhimu ya huduma za afya, badala ya kutegemea misaada na mifumo ya nje kwa muda mrefu-Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba

📍Arusha-Tanzania
🗓️Septemba 09, 2026
———————————————-
Ameyasema hayo wakati alipomwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan katika ufunguzi rasmi wa Mkutano wa Pili wa Kimataifa wa Huduma za Afya ya Msingi unaofanyika jijini Arusha, uliokutanisha zaidi ya washiriki 2,700 kutoka mataifa 27.
 
Jana Daktari kampiga ngumi askari trafiki.

Miezi miwili nyuma daktari alimpiga ngumi nesi.

Hii kada iokolewe watu wake kwanza wakati miundombinu inawekwa sawa.
 
Back
Top Bottom