COMORIENNE
JF-Expert Member
- Dec 25, 2022
- 1,157
- 1,277
Hivi mkuu ni kweli hawana kazi?Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
Lebanon imepeleka watu
India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
China imepeleka watu (waliojitolea)
Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yanguAfrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
Lebanon imepeleka watu
India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
China imepeleka watu (waliojitolea)
Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Hawana msaada wowote ule kwenye hili swalaNikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yangu
Nikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
Lebanon imepeleka watu
India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
China imepeleka watu (waliojitolea)
Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?
Huwezi jua ni mambo ya kidplomasia ndugu yangu!!Hawana msaada wowote ule kwenye hili swala
Basi ni shida, kwa utajiri wote ule wa mafuta Naija anastahili kuwa major donor country....Nigeria hakuna cash muda huu
Asilimia 98% ya waafrika wako kama wewe.Kisaidia nini?
Mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
😀😀😀Kuweza kufika huko tunahitaji msaada, sa itakuaje
Undercover ya niokoNikutake radhi kaka usiwaseme ndugu zangu wa JWTZ kua wamekaa hawana kazi!!!Unajua undercover ngapi ndugu zangu wa JWTZ wanafanya kwa ajili ya kusaidia watu sehemu mbalimbali duniani????Vijana Wengine wamepoteza mpaka maisha yao kulinda amani ya wengine kwa kujitolea kwa mioyo dhabiti!!!Usiwazungumzie vibaya ndugu zangu wa JWTZ!!!!Sawa ndugu yangu
They deserve respect haipendezi na wewe kutumia lugha kama hii!!!Ndugu zetu wa JWTZ wanadeserve heshima sio busara kusema wamekaa bila kaziUndercover ya nioko
Ndio maana wazungu walitunyooshaViongozi wa afrika ni wabinafsi mno
😀 😀Tunaziomba nchi wahisani watupe mkopo wa zarura ili tukasaidie wenzetu, wapi mwigulu nchemba.
Watusaidie usafiri tukasaidie kushuhudia jitihada za uokozi.Afrika ina tatizo gani, hadi sasa haijatoa msaada wowote ule, hata wa watu kwenda saidia Turkiye katika usaidizi wa kuokoa watu.
~ Ukraine iko vitani ila inapeleka watu
~ Lebanon imepeleka watu
~ India imepeleka watu, madawa, mbwa, vifaa
~ China imepeleka watu (waliojitolea)
~ Marekani inapeleka watu, vifaa, madawa
~ Urusi imepeleka watu na madawa
Afrika tuna tatizo gani?
Lile tetemeko limeshusha nyumba zaidi ya 6000 hawataweza wenyewe.
JWTZ wamekaa tu hawana kazi, kwanini serikali isiwapeleke kusaidia?