Umeongea vema sana. Africa wengi kwa kutofikiri sawa sawa tunaangamia na haya makemikali ya wazungu.Kuna Waafrika Weupe na Weusi
Kuna Waarabu Weupe na Weusi
Kuna Wahindi Weupe na Weusi
Sijawahi kumwona Mwarabu au Mhindi Mweusi akiichukia ngozi yake nyeusi na akafanya juhudi ya kubadilisha ngozi yake iwe ya rangi nyeupe.
Wote wanazipenda na kuzithamini rangi zao za asili.
Tatizo lipo kwa Mwafrika Mweusi, kuna baadhi ya Waafrika weusi hawauthamini weusi wao.
Wanalazimika kuharibu ngozi zao ili ziwe Nyeupe.
Hii ndio tofauti ya Waafrika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiondoa suala la kujichubua,je mtazamo wetu kiujumla juu ya ngozi nyeusi na nyeupe ukoje? Maana nasikia kuna makabila ambayo mabinti weupe huozwa kwa mahari kubwa kwa sababu ni weupe tofauti na mabinti weusi,wengine wanaogopa kutembea wakati wa jua kali kwa kuhofia kuwa weusi sana.
Mbona kuna waafrika weupe wa kuzaliwa na huzaa watoto weusi,ndiyo maana nasema hakuna anayejichubua ili awe mzungu kwamba hadi uzao wake nao uwe weupe,mtu anajichubua yeye kama yeye tu ili awe mweupe.na suala la uzungu wala uchina.Ile haindoi hali halisi ya mtu kwani mwanamke utajichubua lakini mwisho wa siku unakuja kuzaa mtoto mweusi kama Msudanii wa Kusini. Sasa hapa raha iko wapi?
Kuna mtu alishawahi kuniambia kuwa kuna vidonge mwanamke akimeza anakuwa mweupe kabisa na pia watoto anaweza kuzaa weupe kabisa meaning DNA inabadirika pia. Is this true?.Ni kweli waafrika hutujitambui. Hatujui nguvu zetu za asili na sifa zetu kuu kwa vile hatujisomi na kujielewa. Tukizitambua na kujifahamu strength yetu tutaenda mbali. Wengi hatujui why tupo tulivyo ndo maana watu wanataka wawe kama wazungu au waarabu
Sent using Jamii Forums mobile app
BASI KWA KASI HII WAAFRICA TUTAISHA.Kuna mtu alishawahi kuniambia kuwa kuna vidonge mwanamke akimeza anakuwa mweupe kabisa na pia watoto anaweza kuzaa weupe kabisa meaning DNA inabadirika pia. Is this true?.
NB. kuzaa watoto inadepend na DNA za baba pia lakini kwa maelezo ya yule mtu it seems kile kidonge kina-affect pia genetic codes.
Ni wachache ambao wanauwezo wa kuelewa
Tatizo lako huwa unabisha mpaka kwenye vitu ambavyo haviitaji mabishano .... Taifa lolote lile ambalo linaitawala dunia jambo moja wapo ambalo huwa linafanya ni kuhakikisha linairithisha dunia mila na tamaduni zao " kisha wana hakikisha wana fanya propaganda dhidi ya mataifa mengine kuhusu yale yanayopatikana katika taifa lao ... propaganda moja wapo katika hizo ni kuhakikisha jamii ya watu wao inaonekana bora kuliko jamii ya watu wengine " ..... baada ya hapo sasa utaanza kuona jamii za watu wengine zikianza kuiga hizo tamaduni za hilo taifa kuiga life style nzima ya jamii hiyo .....Tunarudi kulekule tu,nachojua hao wanafanya hivyo ni kwa sababu ya urembo tu na si kwamba wanataka wawe kama race fulani au wanadharau race yao.
Unajua haya yote yanakuja kutokana na ukweli kwamba mitazamo yetu juu ya hizo races zengine ndio hufanya tuone hao wanaojibua na kuvaa mawigi hufanya hivyo et kufanana na wazungu au sijui wanadharau race yao.
Na toka nimeelewa hilo maisha yangu yamebadilika kabisa hadi kimtazamo.Ni wachache ambao wanauwezo wa kuelewa
NIMESOMA MAELEZO YA HEARKY, NIMEONA KABISA JINSI TULIVYFABYIWA PROGANDA YA KUJIONA HATUNA MAANA ILA WEUPE NDIO WA MAANA. YAANI SIKU IZI UKIWA NA MWANAMKE 50% YA MWILI WAKE NI FAKE.Mwanamke mweusi kuzaa mtoto mweupe inawezekana, lakini si kwa kumeza vidonge. Kuna teknologia inayoitwa CRSPR, ambayo inatumika kuondoa genetic code nyeusi na kupachika code nyeupe.
LAKINI, tahadhari inahitajika kwa sababu huyu mtoto mweupe akiishi kwenye nchi zenye jua kali, amaweza kupata saratani ya ngozi. Kwa hiyo ya nini kuchezea kazi ya Mungu????
Halafu akina dada, ma-blonde wa kiafrika wanachosha sana! Yaani sura iwe ya kiafrika, lakini ngozi nyeupe na nyewele za kidhahabu, unadhani unatembea na kinyonga! Acheni hizo!!!!!!
HahaaMwanamke mweusi kuzaa mtoto mweupe inawezekana, lakini si kwa kumeza vidonge. Kuna teknologia inayoitwa CRSPR, ambayo inatumika kuondoa genetic code nyeusi na kupachika code nyeupe.
LAKINI, tahadhari inahitajika kwa sababu huyu mtoto mweupe akiishi kwenye nchi zenye jua kali, amaweza kupata saratani ya ngozi. Kwa hiyo ya nini kuchezea kazi ya Mungu????
Halafu akina dada, ma-blonde wa kiafrika wanachosha sana! Yaani sura iwe ya kiafrika, lakini ngozi nyeupe na nyewele za kidhahabu, unadhani unatembea na kinyonga! Acheni hizo!!!!!!
NIMESOMA MAELEZO YA HEARKY, NIMEONA KABISA JINSI TULIVYFABYIWA PROGANDA YA KUJIONA HATUNA MAANA ILA WEUPE NDIO WA MAANA. YAANI SIKU IZI UKIWA NA MWANAMKE 50% YA MWILI WAKE NI FAKE.