African woman looking white! What went wrong with us?

African woman looking white! What went wrong with us?

MAPUMA MIYOGA

JF-Expert Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
3,792
Reaction score
2,369
1550658062721.png
 
Weusi au Weupe sio Kitu
What matters most ni wa kike!!
 
Hapana,ila tunalo tatizo la kujichubua ndani ya jamii ya kiafrica (wake kwa waume),ambapo wengi wanaamini ili uwe mzuri lazima uwe mweupe!!
Ukiondoa suala la kujichubua,je mtazamo wetu kiujumla juu ya ngozi nyeusi na nyeupe ukoje? Maana nasikia kuna makabila ambayo mabinti weupe huozwa kwa mahari kubwa kwa sababu ni weupe tofauti na mabinti weusi,wengine wanaogopa kutembea wakati wa jua kali kwa kuhofia kuwa weusi sana.
 
Hawa dada zetu waliokuwa weusi na kujigeuza weupe kama wazungu, ni wakuhurumia tuu, kwa sababu japo wanapendeza kwa muonekano, lakini mambo ya mwilini, pia yanabadilika..

Niliwashauri dada zetu wajivunie rangi zao za asili, tena hata hao ma black, kuna types mbili

Enjoy Black Beauty: Did You Know They Are Two Types?!. Black Inside Out & Black Out, Inside Red!. - JamiiForums

P
NIMESIKITISHWA HASA NA UAFRICA MPYA WA KUKAA HATA NYWELE SASA WAMEHAMIA ZA RANGI YA AKINA MADONA.??
 
Ina maana muafrika lazima awe mweusi?
SIO LAZIMA ILA PIA SIO LAZIMA UJICHUBUE NAMNA HII NA KUWEKA MANYWELE YA AKINA MADONA. BAHATI MBAYA HATUWEZIKUWA WAZUNGU KWA KUWEKA MANYWELE NA KU-CREAM NGOZI ZETU.
TUNAJITAHIDI KUWA KAMA WAZUNGU KWA NJE LAKINI AKILI ZETU NA MATENDO YETU YANATUTAMBULISHA USHAMBA NA ULIMBUKENI TULIONAO.
NAAMINI UNAWEZA KUWA MZURI KWA RANGI YAKO NA NYWELE ZAKO ZA KIAFRICA. UKISHINDWA BASI, HATA NYWELE ZA RANGI INAYOAKISI UAFRICA NAZO SHIDA?
 
I do not support skin bleaching... but if I want a blonde look, I will wear a blonde wig or dye my hair blonde.

If am weary of my African afro I will braid it or get a hair cut.

If I want to straighten my curly hair I will perm it. Because am a woman and I feel like it.
 
SIO LAZIMA ILA PIA SIO LAZIMA UJICHUBUE NAMNA HII NA KUWEKA MANYWELE YA AKINA MADONA. BAHATI MBAYA HATUWEZIKUWA WAZUNGU KWA KUWEKA MANYWELE NA KU-CREAM NGOZI ZETU.
TUNAJITAHIDI KUWA KAMA WAZUNGU KWA NJE LAKINI AKILI ZETU NA MATENDO YETU YANATUTAMBULISHA USHAMBA NA ULIMBUKENI TULIONAO.
NAAMINI UNAWEZA KUWA MZURI KWA RANGI YAKO NA NYWELE ZAKO ZA KIAFRICA. UKISHINDWA BASI, HATA NYWELE ZA RANGI INAYOAKISI UAFRICA NAZO SHIDA?
Mi sidhani kama wanafanya hivyo ili wawe kama wazungu,nachojua hufanya kama urembo tu et wawe wazungu.
 
Mi sidhani kama wanafanya hivyo ili wawe kama wazungu,nachojua hufanya kama urembo tu et wawe wazungu.
Hiyo inaitwa Devide and rule mkuu ".... huwezi kuona athari yake kwa macho bali mpaka pale utakapo anza kutumia akili ipaswavyo "

Hapo mantiki yake ni kwamba Mtumiaji haioni thamani ya race yake ndio mana anashindwa kuikubali na hatimae anatamani kuwa na muonekano wa race nyingine tofauti na ile inayomuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo inaitwa Devide and rule mkuu ".... huwezi kuona athari yake kwa macho bali mpaka pale utakapo anza kutumia akili ipaswavyo "

Hapo mantiki yake ni kwamba Mtumiaji haioni thamani ya race yake ndio mana anashindwa kuikubali na hatimae anatamani kuwa na muonekano wa race nyingine tofauti na ile inayomuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tunarudi kulekule tu,nachojua hao wanafanya hivyo ni kwa sababu ya urembo tu na si kwamba wanataka wawe kama race fulani au wanadharau race yao.

Unajua haya yote yanakuja kutokana na ukweli kwamba mitazamo yetu juu ya hizo races zengine ndio hufanya tuone hao wanaojibua na kuvaa mawigi hufanya hivyo et kufanana na wazungu au sijui wanadharau race yao.
 
Ukiondoa suala la kujichubua,je mtazamo wetu kiujumla juu ya ngozi nyeusi na nyeupe ukoje? Maana nasikia kuna makabila ambayo mabinti weupe huozwa kwa mahari kubwa kwa sababu ni weupe tofauti na mabinti weusi,wengine wanaogopa kutembea wakati wa jua kali kwa kuhofia kuwa weusi sana.

Mkuu unaona kama unarudi pala pale tu kama nilivyosema awali?ikiwa jamii /makabila flani huoza mabinti wao weupe kwa mahari kubwa tofauti na weusi,hii ina maana kuwa wanaamini weupe ndio uzuri wenyewe,ama sivyo?na imani hiyo ndio inasababisha tuwe na tatizo la watu kutaka kujichubua ili waonekane wazuri.na ukiangalia vizuri utagundua kwamba hili tatizo la watu kujichubua si la Tanzania pekee,ni karibu Africa yote,na si kwa raia wa kawaida tu,mpaka viongozi wa juu kwenye nchi zetu,wasomi na wasio wasomi.
Shida yetu kubwa sisi Waafrica ni kwamba hatujithamini,hatujielewi ,hatujikubali ,hatujitambui wala kujiamini,tunafanya mambo mengi kujitukana wenyewe tu.
 
Hiyo inaitwa Devide and rule mkuu ".... huwezi kuona athari yake kwa macho bali mpaka pale utakapo anza kutumia akili ipaswavyo "

Hapo mantiki yake ni kwamba Mtumiaji haioni thamani ya race yake ndio mana anashindwa kuikubali na hatimae anatamani kuwa na muonekano wa race nyingine tofauti na ile inayomuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
Sure. Nami nimeona mapema sana kwa jicho la tatu kama ulivoona.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu unaona kama unarudi pala pale tu kama nilivyosema awali?ikiwa jamii /makabila flani huoza mabinti wao weupe kwa mahari kubwa tofauti na weusi,hii ina maana kuwa wanaamini weupe ndio uzuri wenyewe,ama sivyo?na imani hiyo ndio inasababisha tuwe na tatizo la watu kutaka kujichubua ili waonekane wazuri.na ukiangalia vizuri utagundua kwamba hili tatizo la watu kujichubua si la Tanzania pekee,ni karibu Africa yote,na si kwa raia wa kawaida tu,mpaka viongozi wa juu kwenye nchi zetu,wasomi na wasio wasomi.
Shida yetu kubwa sisi Waafrica ni kwamba hatujithamini,hatujielewi ,hatujikubali ,hatujitambui wala kujiamini,tunafanya mambo mengi kujitukana wenyewe tu.
Ni kweli waafrika hutujitambui. Hatujui nguvu zetu za asili na sifa zetu kuu kwa vile hatujisomi na kujielewa. Tukizitambua na kujifahamu strength yetu tutaenda mbali. Wengi hatujui why tupo tulivyo ndo maana watu wanataka wawe kama wazungu au waarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom