Kama nchi za Kiafrika hazikufata "time table" iliyopangwa ulitaka wasiambiwe.
Kila uchunguzi na tafiti hufanyiwa kazi na ukienda Makkah kila mwaka kunabadilika na kufanya Hajj kuwa nyepesi zaidi kwa hizo tafiti na uchunguzi unaofanyika baada ya maafa.
Wapi kwenye hiyo habari alipokuwa blamed African?
Yaani hamuwachi ufataani?
katika nchi hiyo mahujaji hufa kila mwaka, je, visabbishi ni waafrika. Huyo mjinga ache kutukana waafrika
ni ukweli mchungu kweu waaafrika...hatuna ustaarabu wengi wetu ( tukatae au tukubali) na tuna imani hadi inavuja... kama ndugu zetu wa afrika magharibi ambao wanaamini kufia huko ni moja kwa moja mbinguni... japokuwa hii sio sababu kuu ila ni moja ya sababu
s........in controversial statements, African pilgrims have been blamed for this indiscipline. Saudi-owned al-Arabiya TV reportedly quoted the head of the central Hajj committee, Prince Khaled al-Faisal, blaming the stampede on "some pilgrims with African nationalities"........
Huwezi kusema waafrica bwana lazima useme mtu mmoja mmoja
Mbona ni nimeona wazungu wengi tu sio wastaarabu,waarabu wengi sio wasaatarabu,wahindi wengi sio wastaraabu
Ila hatuwezi sema race yote sio wastaraabu kwasababu ya watu wachache
Nafikiri ilidhibitishwa na mfalme mwenyewe wa Saudi Arabia kuwa watu wa Africa ndio chanzo
Ila sasa huyo mfalme hajatuambua Mwafrika kivipi yaaani
Kwasababu tu anatokea Africa au kwasababu ni mweusi? Hawajatuambia kwasababu hizo sababu zote hazina maana zaidi ya kutafuta lawama
= ilithibitishwa
Fikra zako potofu na za uongo, wapi ilipothibitishwa?
Nnauhakika hata ulichokisoma hukielewi.
IT is all over the news, tuhuma kwa Waafrika kusababisha mkanyagano. Ila ukweli unajulikana waliosababisha hayo. Ingawa nawe unawashutumu Waafrika wenzako kuwa ni chanzo. Kwanini lawama ziende kwa Waafrika kwa sababu baadhi yenu, mnawaona Waafrika kama viumbe dhalili. Kila baya linaelekezwa kwa Waafrika. Cha ajabu hata hilo, hulijui, Waliosababisha mkanyagano ni WAIRANI, ila kwa sababu ambazo hazijulikani lawama kwa Waafrika nawe unawaunga mkono, Dada acha hizoAnaetukana ni mleta mada, nimeipitia habari yote sijaona hata nukuu moja ikisema kuhusu Waafrika kuwa ndiyo waliosababisha.
Wakulaumiwa na anaeleta fitna ni mleta mada.
Wazi kabisa.
= ilithibitishwa
Fikra zako potofu na za uongo, wapi ilipothibitishwa?
Shetwan alikasirika akasema "aaaaah jama hata huyu anayewakandamiza waafrika wenzie naye anipiga mawe? Mmmmmmh sikubali"