Lini Afrika itakuwa na Mungu wao.
MUNGU ni mmoja ila wanao mitume wao lakini hawawatambui, wanahangaika na mitume wa wengine!
Lini Afrika itakuwa na Mungu wao.
Wasiwalaumu waafrika , wajilaumu wao yawezekana shetani alikasirika baada ya kurushiwa mawe
Don't blame on Africans "nations". It is Muslims who don't follow whatever you call it "Time table"Kama nchi za Kiafrika hazikufata "time table" iliyopangwa ulitaka wasiambiwe.
Kama nchi za Kiafrika hazikufata "time table" iliyopangwa ulitaka wasiambiwe.
Kila uchunguzi na tafiti hufanyiwa kazi na ukienda Makkah kila mwaka kunabadilika na kufanya Hajj kuwa nyepesi zaidi kwa hizo tafiti na uchunguzi unaofanyika baada ya maafa........
Hakuna lolote, hapo ni ubaguzi tu plain and simple. Afrika ina mahujaji kutoka mataifa mbalimbali. Huwezi kusema "waafrika" kwa ujumla wao as if waafrika wote waliokuwako huko walienda kama group moja lenye uwelewa mmoja! That's just pure racism! Ingekuwa mahujaji toka egypt ndio walikuwa wanapikia kwenye hayo mahema, je ingesemwa 'waarabu' au egyptians? Mwenyewe unasema kila nchi inapangiwa utaratibu wao, sasa hiyo nchi inayoitwa 'afrika' iliyovuruga utaratibu iko pande gani?
wewe ndiye usiyejua na nasema acha kuwaonea wenzio wivuMUSLIMS, why do you hate black people so much?
Is it true that Arabs hate black people and believe that Satan was a black man, and if you dream of black women your life will be full of disease?
Also is it true that blacks are looked at as soulless raisin heads that are never to enter heaven strickley created to dwell with the infidels in hell?
And that Allah created black man to bring upon you doom and destruction for annoying god.
My question is it seems like Allah and Arabs hate black people and if this is how you feel than your religion is no different than the KKK, at least the KKK are open and straight forward with it instead of smiling in your face after they gave you your change from the slurpy you just bought at the seven 11 from Arabs.
wakati uchunguzi ukiendelea kuna mambo yaliyowazi kabisa na lazma yasemwe...nathubutu kusema kakosea sana,tena sana,kutoa lawama kwa waafrika. Wangetulia, wafanye uchunguzi ukikamilika ndio waje na taarifa kamili.Kusema waafrika wamesababisha ni dharau,either anamaanisha waafrika ni wajinga wasuofuata taratibu au ni washamba.?!
Kwanini wasiwe wanatoa maelekezo basi kwa wale wanaokwenda kuhiji ili kuepusha madhara km haya, na vile hii sio mara ya kwanza kwa tukio km hili kutokea...wamekosea sn kuwalaumu waafrika.
Nionavyo;mamlaka za Saudia wasijaribu kukimbia tatizo,limeshatokea ndani ya mipaka yao wakae chini wafikirie namna ya kuzuia majanga mengine siku za mbeleni.Sio kukimbilia tu kurusha lawama kwa tabaka fulani la watu, ambao nao ni haki yao kwenda kuhiji.
Mungu awajalie nguvu wote waliofikwa na msiba popote walipo duniani.
wakati uchunguzi ukiendelea kuna mambo yaliyowazi kabisa na lazma yasemwe
ni mahujaji weusi wenye hamu ya kufia macca kuliko hata waarabu
Mezeni ikawa ukwel mchungu.kassim kayira kasema kua West Africans ndo wana fujo
Unaelewa Kiingereza lakini? Au maana ya 'In controversial statements, African pilgrims have been blamed for this indiscipline' ni nini?Kichwa cha habari kingine na utumbo wa habari mwingine.
Wapi kwenye hiyo habari alipokuwa blamed African?
Yaani hamuwachi ufataani?
watu wanaham ya kufia macca....waachwe yatimie ili waione pepoinamaana wao hawana utaratibu wa kukabiliana na wavunja timetable?