African 'one term' presidents: Will Magufuli take a course?

African 'one term' presidents: Will Magufuli take a course?

Watanzania ni wanafiki na malimbukeni wanaopenda mteremko kwenye kupata mafanikio....

Mlilia lia kikwete fisadi, huduma mbovu, wenye nacho wanasikilizwa kuliko wasionacho mkawa mnaomba usiku kucha atoke rais wa tofauti mkalli asiwe legellege like kikwete amepatikana mnaanza kulalamika ooh mara ivi mara kilikwenda kimerudi pumbavu kabisa.

Magufuli kanyaga mafuta twende wasikutishe.
Mkuu upo?
 
Kwa yanayotokea niandike tena au nisiandike
 
Back
Top Bottom