Afrika inajulikana kuwa na marais wanaokaa madarakani kwa muda mrefu kama, Yahya Jammeh wa Gambia, Robert Mugabe wa Zimbabwe, na Yoweri Museven wa Uganda, Kwa Afrika ni nadra sana rais kuondolewa kidemokrasia kwa sanduku la kura kabla ya kipindi chake kuisha.
Lakini kuna marais wa Afrika waliodumu madarakani kwa kipindi mfupi kati ya siku mbili hadi miaka minne au muhula mmoja kwa sababu mbalimbali kama mapinduzi ya kijeshi, kifo, uchumi, kuuawa (assassination), utawala mbovu.
Christopher Elnathan Okoro Cole wa Sierra Leone aliyekuwa Jaji Mkuu wa nchi hiyo April 1971 aliapishwa kuwa rais na siku mbili baadaye akajiuzulu na kumkabidhi madaraka waziri mkuu Siaka Stevens.
Yusuf Kironde Lule wa Uganda alikuwa rais wa Uganda kwa siku 68 tu (April 13 -June 20, 1979), wananchi walimkataa, 'he became unpopular', aliondolewa na bunge.
Robert Guei – Ivory Coast alikuwa rais kwa miezi 10 tu, December 24th 1999-october 26, 2000), alishindwa kwenye uchaguzi na Laurent Gbagbo.
Michel Djotodia alikuwa rais wa Central African Republic kwa miezi 9 tu, (March 24, 2013 - January 10, 2014) aliingia kwa kuipindua serikali, aliondolewa na umoja wa mataifa baada ya kushindwa kukomesha mauaji ya kidini.
Ernest Adegunle Oladeinde Shonekan alikuwa rais wa Nigeria kwa miezi 3 tu, (August 26, - November 1993) baada ya Gen. Ibrahim Babangida kulazimishwa kujiuzulu na wananchi, na yeye alikuja kuondolewa na jeshi sababu ilikuwa kudorola kwa uchumi.
Gen. Tito Okello aliyekuwa kiongozi ndani ya jeshi la Uganda alimpindua Milton Obote, Okello alikuwa rais wa Uganda kwa miezi 5 tu, (July 29, 1985 January 26, 1986). Aliondolewa na waasi wakiongozwa na Yoweri Museven ambaye hadi leo bado rais.
Thomas Sankara wa Burkina Faso aliingia madarakani mwaka 1983 kwa mapinduzi ya kijeshi, aliwaahidi wananchi kuleta mapinduzi ya kiuchumi, October 15, 1987 aliuawa na wajeshi.
Melchior Ndadaye wa Burundi, alikuwa rais Mhutu wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, alidumu madarakani kwa miezi 3 tu, (July 10, 1993 - October 21, 1993). Aliuawa na wanajeshi wa Kitusti.
Mohamed Morsi alikuwa rais wa kwanza wa Misri wa kuchaguliwa kidemokrasia, aliingia madarakani June 30, 2012 baada ya nguvu ya umma kumwondoa dikteta Hosni Mubarak, wananchi waliamini kuwa labda Morsi atakuja kuwa kiongozi mzuri kwao. Baada ya Morsi kupewa madaraka alibadili katiba na kujipa madaraka yote, kila kitu aliamua yeye bila kulihusisha bunge, mahakama wala vyombo vya sheria. Aliwakamata na kuwaua wote aliokuwa wakimpinga.
Kutokana na utawala wake wa mabavu wa kutofuata sheria Morsi alishitakiwa na ilipofika May 2015 alihukumiwa kunyongwa na mahakama ya nchi yake.
Tuna cha kujifunza kutokana na utawala huu wa Magufuli?
Lakini kuna marais wa Afrika waliodumu madarakani kwa kipindi mfupi kati ya siku mbili hadi miaka minne au muhula mmoja kwa sababu mbalimbali kama mapinduzi ya kijeshi, kifo, uchumi, kuuawa (assassination), utawala mbovu.
Christopher Elnathan Okoro Cole wa Sierra Leone aliyekuwa Jaji Mkuu wa nchi hiyo April 1971 aliapishwa kuwa rais na siku mbili baadaye akajiuzulu na kumkabidhi madaraka waziri mkuu Siaka Stevens.
Yusuf Kironde Lule wa Uganda alikuwa rais wa Uganda kwa siku 68 tu (April 13 -June 20, 1979), wananchi walimkataa, 'he became unpopular', aliondolewa na bunge.
Robert Guei – Ivory Coast alikuwa rais kwa miezi 10 tu, December 24th 1999-october 26, 2000), alishindwa kwenye uchaguzi na Laurent Gbagbo.
Michel Djotodia alikuwa rais wa Central African Republic kwa miezi 9 tu, (March 24, 2013 - January 10, 2014) aliingia kwa kuipindua serikali, aliondolewa na umoja wa mataifa baada ya kushindwa kukomesha mauaji ya kidini.
Ernest Adegunle Oladeinde Shonekan alikuwa rais wa Nigeria kwa miezi 3 tu, (August 26, - November 1993) baada ya Gen. Ibrahim Babangida kulazimishwa kujiuzulu na wananchi, na yeye alikuja kuondolewa na jeshi sababu ilikuwa kudorola kwa uchumi.
Gen. Tito Okello aliyekuwa kiongozi ndani ya jeshi la Uganda alimpindua Milton Obote, Okello alikuwa rais wa Uganda kwa miezi 5 tu, (July 29, 1985 January 26, 1986). Aliondolewa na waasi wakiongozwa na Yoweri Museven ambaye hadi leo bado rais.
Thomas Sankara wa Burkina Faso aliingia madarakani mwaka 1983 kwa mapinduzi ya kijeshi, aliwaahidi wananchi kuleta mapinduzi ya kiuchumi, October 15, 1987 aliuawa na wajeshi.
Melchior Ndadaye wa Burundi, alikuwa rais Mhutu wa kwanza kuchaguliwa kidemokrasia, alidumu madarakani kwa miezi 3 tu, (July 10, 1993 - October 21, 1993). Aliuawa na wanajeshi wa Kitusti.
Mohamed Morsi alikuwa rais wa kwanza wa Misri wa kuchaguliwa kidemokrasia, aliingia madarakani June 30, 2012 baada ya nguvu ya umma kumwondoa dikteta Hosni Mubarak, wananchi waliamini kuwa labda Morsi atakuja kuwa kiongozi mzuri kwao. Baada ya Morsi kupewa madaraka alibadili katiba na kujipa madaraka yote, kila kitu aliamua yeye bila kulihusisha bunge, mahakama wala vyombo vya sheria. Aliwakamata na kuwaua wote aliokuwa wakimpinga.
Kutokana na utawala wake wa mabavu wa kutofuata sheria Morsi alishitakiwa na ilipofika May 2015 alihukumiwa kunyongwa na mahakama ya nchi yake.
Tuna cha kujifunza kutokana na utawala huu wa Magufuli?