- Thread starter
- #41
Mkuu kwa hiyo ulitaka kusema nini.Mnatia huruma sana make hamjui yaliyo nje ya upeo wenu na kwa kuwa uwezo wenu ni wa kibaba mko hapa mnafarijiana utadhani ni wale manusura wanaokuwa wanaomba na kusali huku wameshikana mikono huku wakisubiri kuokolewa pale MV Nyerere inapokuwa imepinduka juu chini.
Mkitaka kuelewa mnayoyafikilia ni pale zinakoishia kuanzia leo msiwe mnalala ..yaani mkeshe usiku kucha kuanzia leo hadi 2020 make nyie mnapokwenda kulala dunia huwa inapinduliwa juu chini na yanayokuwa yanaendelea ni wale tu wanaoufahamu vizuri usiku wa manane.
Endeleeni kuota mchana kweupe!
