Mmh, lakini sijui kama wote tunajua athari za hizi nywele au huu urembo wa bandia wa kutumia madawa kama yale ya kubadilisha maumbile asilia. ingekuwa vyema tujulishwe athari pengine mtu anaweza kufanya uamzi maana siku hizi humjui yupi mwaume, yupi mwanamke kwa ajili ya huo urembo bandia. yaani ngoma droo.
mmh hatari!
Mara nyingi ni INFERIORITY complex ndio inawasumbua wadada,hata kama mtu ni mzuri kiasi gani lakini bado anakuwa hajiamini alivyo mpaka ajifiche uhalisia wake kwa vitu vingine.