Hii nzuri sana, hapo unakuwa na mtindi wako
Afu umezungukwa na your loved ones
So good, nazimiss hizi vitu, asubuhi unapiga ugali na maziwa
Unaenda kuchunga lol
Bara la Africa ni Tajiri kuliko Mabara yote ya Dunia.Africa tuna kila kitu Almasi,dhahabu,Madini yote,na Mafuta pia tunayo ila kitu kimoja hatuna africa viongozi imara wa kutoongoza na kuipenda Nchi yetu ndio maana hatuendelee tunakuwa ni Masikini. Viongozi wetu ni Mafisadi,wala Rushwa, wezi tunaweza kweli kuendelea kimaisha?KwaniAfrica ni tajiri?
Hii imetulia sana, kwa kuenzi mila zetu tulitakiwa kufanya hivyo. mi ningeiboresha zaidi kwa kuondoa mshumaa na kuweka koroboi, kwa sababu mshumaa sio wetu kiasili.
Happy Birthday ya kimasikini hiyoooooo Boflo oooooooooooooooooo
Happy Birthday ya kimasikini hiyoooooo Boflo oooooooooooooooooo