Usharudi kitaa bila kuaga ndugu? Haipendezi namna hiyo fundi mchundo mwenzangu.Kumbe ni Mzenji 🙂
Acha kudanganya bujibuji, hawa ni wasabato wa pale chuo Udsm madarasa ya yombo.
ukimenye ikisyesye ugwe?kheee huyu wa kwanza kulia si Leah huyu! aaah makandana kwa bibi yangu hapo....mida hii naenda zangu pale juu kununua maparachichi na ndizi tunajifungia ndani tunachoma tu ndizi ...hahaaaa mweeee,,,kukaja kutali vijo amafufu na matakapera...
Abhalindwana bha kukhaja baghwitu...une nkaghanile hako kasekele
Kaka! naona unaweweseka kitandani, amka kumekucha..... hujasikia kokolikoooooooooo
Mentor kwani wewe hujui kuwa mbinguni ni kusifu na kuabudu tu?
Hii ni sare ya harusi nafikiri, maana mmoja wa wadada hawa ni bubu, sijui bubu anawezaje kuimba kwaya
Nimepiga ramliKha! hiyo harusi mshonaji anatakiwa apigwe faini aisee!!!!
Alafuuuu umejuaje kuna bubu hapo?? do u know em personally!??
Usharudi kitaa bila kuaga ndugu? Haipendezi namna hiyo fundi mchundo mwenzangu.
wame match mavazi dat onlyTena umuwaaaaacheeee APUMUWEEEE!!!!
Tawile baba, na iwe hivyo kama ulivyosema baba.Ahh, muda ulikuwa kidogo sana na nikajirudia Sikonge. Huenda nikawa hapo kwenu Dar mwaka huu katikati. Ntakuwa na kishughuli fulani ila baadaye ntakuwa na siku kama nne hivi za kukutana na Mafundi Mchundo wenzangu. Tuombe uzima.
Ukali ukwega?mma lelo kope kalimo mbo lindwana,uketile ikilundi mwalafyale?Abhalindwana bha kukhaja baghwitu...une nkaghanile hako kasekele
Ukali ukwega?mma lelo kope kalimo mbo lindwana,uketile ikilundi mwalafyale?
ntakununulianimekipenda kitenge