African Angels from MAKANDANA and IGOGWE

African Angels from MAKANDANA and IGOGWE

mambo mengine mashalaah........ila tatizo vitambi bana!!yaani sipendi sana mwanadada mwenye ka-friji aisee,utafikiri asprin babu yao watu humu,bana!!
 
unadhani tutafanyeje sasa? Bia tunakunywa, chips tunakula, supu na michemsho ndio zetu kwa sana
mambo mengine mashalaah........ila tatizo vitambi bana!!yaani sipendi sana mwanadada mwenye ka-friji aisee,utafikiri asprin babu yao watu humu,bana!!
 
unadhani tutafanyeje sasa? Bia tunakunywa, chips tunakula, supu na michemsho ndio zetu kwa sana

yotte hayo fanya ila sio ndo usubiri mazoezi nikufanyishe mimi baadae chumbani(wakati wa ma-kamasutra tu)!fanya mazoezi bana,mdodgo mdogo unaanza,ruka kamba zako kumi,ongeza as time goes,nenda gym kama waweza na ratiba inaruhusu.......baadae anza sit ups na nini..itakusaidia hata kwenye ''masarakasi'' yale na shemeji bana!
 
Kwiiiiikwiiiiikwiiiiiikwiiiiiiiiii! ndagha fijho bhakikulu bha nkajha loli moghile leka! safi sana wametokelezea chezea nyakyusa wewe
A%20S%208.gif
A%20S%208.gif
A%20S%20100.gif

Kumbe hawa wanaoitwa MALAIKA na Bujibuji ni wasokile, ndio maana sura zao zimekaa kama KIFUGE!!!
 
Back
Top Bottom