Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

safi sana E. guinea. mmepambana kiume hatimae mmeingia robo fainali
 
Hadi mwisho ndio ilikua hivi
Hongera Equatorial Guinea
Congo Brazaville
 

Attachments

  • 1422215989846.jpg
    1422215989846.jpg
    30.6 KB · Views: 109
  • 1422216012746.jpg
    1422216012746.jpg
    29.8 KB · Views: 107
Equatorial Guinnea ni ya 118 kwenye fifa ranking! Kwa mechi ya leo hata England ingefungwa
 
Ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha !, yapi hayo makubwa jinga mkuu?

Kodivaa mkuu.

Ukitazama 'player index' ya wachezaji wao ni kubwa kuliko timu zote zinazoshiriki hii michuano. Lakini hakuna maajabu yoyote waliyoonesha, kiwango chao wanachokionesha hapa ni kichefuchefu.
 
Tayari Mali wanaongoza kwa goli moja, limefungwa na Bakary Sako. Hawa Ivory Coast bora hata wangemuita Kipre Tchetche pale mbele labda angefanya mambo.

Tuna walakini na wachezaji wanaocheza nje mkuu.
 
Mmemuona kalusha bwalya? All ze bes zambie

Hao Zambia wana hali mbaya, ili wapite kwenda hatua inayofuata inabidi washinde lakini kama matokeo yatabaki hivi hivi Cape Verde wanapita. Na match ni kama ishaharibika kuna bonge la mvua hadi alama za uwanjani zinaelekea kufutika.
 
Kweli zege halilali, maana hizi mechi zinachezwa pamoja, hivyo refa hawezi simamisha mpir, upande wa kule DRC wameshabalokota wenyewe mpira kunyavu.
 
Kweli zege halilali, maana hizi mechi zinachezwa pamoja, hivyo refa hawezi simamisha mpir, upande wa kule DRC wameshabalokota wenyewe mpira kunyavu.

Jamaa wameshasawazisha tayari.
 
Hawa jamaa drainage kwenye viwanja vyao ni nzuri sana, muda mfupi tu baada ya mvua kukatika maji tayari yameshaisha na uwanjani kumekuwa kama vile mvua haikunyesha.
 
Kwa matokeo haya bado ngoma nzito kwa wawakilishi wetu wa Maziwa Makuu, DRC na Zambia, South Afrika naye ni mambo ni mazito, kuna hatari ukanda huu wa chini ya Ikweta tusiwe na mwakilishi hatua ya robo fainali.
 
Anayejua jamani, kama matokeo yakiisha hivi, Tunis watapita na nani?
 
DRC wanahitaji goli moja tu waende wote na TUNISIA robo fainaili
 
Anayejua jamani, kama matokeo yakiisha hivi, Tunis watapita na nani?

Africa Cup of Nations - Group B - Table
Team Name P W D L F A GD Pts
1 Tunisia 3 1 2 0 4 3 1 5
2 DR Congo 3 0 3 0 2 2 0 3
3 Cape Verde 3 0 3 0 1 1 0 3
4 Zambia 3 0 2 1 2 3 -1 2

Sijui vigeni gani vimetumika, hota chart yao hiyo hapo juu, labda kigezo cha idadi ya magoli mengi ya kufunga DRC watakuwa wamepita.
 
Back
Top Bottom