Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

South 1 2 Ghana

utamu wa nyama unapokaribia mfupa mechi hii ya S. Afrika na Ghana ilikuwa ya msisimko pamoja na kutolewa kwa S.Afrika.

Algeria hawakuanza vizuri pamoja na kuifunga S. Afrika mechi ya kwanza. Madogo wa Senegal waliziwa uzoefu. Sasa tuhamie upande ule wa BR wa Liverpool na MOUR, domo kaya wa Darajani.
 
Algeria na Senegal wanapita, Algeria atakuwa na pointi sita, Senegal nne sawa na RSA lakini yeye atakuwa na zero goal difference wakti RSA atakuwa negative one, Ghana atawabeba wote kwa pointi zake tatu.

Ghana na Algeria ndiyo wamepita..
 
utamu wa nyama unapokaribia mfupa mechi hii ya S. Afrika na Ghana ilikuwa ya msisimko pamoja na kutolewa kwa S.Afrika.

Algeria hawakuanza vizuri pamoja na kuifunga S. Afrika mechi ya kwanza. Madogo wa Senegal waliziwa uzoefu. Sasa tuhamie upande ule wa BR wa Liverpool na MOUR, domo kaya wa Darajani.

Mkuu mechi inaanza saa ngapi kwa saa zetu?
 
10945627_761042563988669_3283213352826054722_n.png
 
Dakika ya 17 Guinea 1 Mali 0. Mali wanakosa penalti dakika ya 18 kipa anadaka mkwaju dhaifu wa Seydou Keita. Mechi nyingine Cameroon 0 Ivory Coast 0 dakika ya 20.
 
Dakika ya 30 Guinea 1 Mali 0 na Cameroon 0 Ivory Coast 0.
 
Yaya Toure anapewa yellow card kwa kucheza rafu dakika ya 32.
 
Hili kundi ni balaa, Mali na Guinea wamefungana moja moja hadi sasa, kama matokeo yakibaki hivi halafu na Cameroun na wasawazishe, hivi itakuwaje?
 
Washindi watapatikana kwa upigaji wa penalti 5 kwa kila timu kutoka kwenye hizo mechi 2.
 
Back
Top Bottom