Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

Hili group balaa, timu zote mechi 2, point 2, goli 2, kufungwa 2!
 
Hizi timu unaweza fikiri zote zinafundishwa na kocha Patrick Phiri.

Mkuu vipi tena? Unamaanisha Phiri yule yule aliyemaliza msimu fulani bila kufungwa kisha akarejea kuifundisha timu ile ile na kucheza michezo 6, kutoa sare 6, point 6, magoli 6 ya kufunga na magoli 6 ya kufungwa?
 
Mkuu vipi tena? Unamaanisha Phiri yule yule aliyemaliza msimu fulani bila kufungwa kisha akarejea kuifundisha timu ile ile na kucheza michezo 6, kutoa sare 6, point 6, magoli 6 ya kufunga na magoli 6 ya kufungwa?

Mkuu mbona maswali mengi? Welaga?
 
Mkuu vipi tena? Unamaanisha Phiri yule yule aliyemaliza msimu fulani bila kufungwa kisha akarejea kuifundisha timu ile ile na kucheza michezo 6, kutoa sare 6, point 6, magoli 6 ya kufunga na magoli 6 ya kufungwa?

Hivi week end hii Sabato haikuwepo nini?
 
Goooaaaaaal wenyeji wanafunga kwa penalt
E.Guinea 1 0 Gabon
Dk 55
 
Naona rangi za kijani au njano ktk jezi za timu za AFCON 2015 zinaonewa sana na timu za rangi nyekundu au nyeupe! Sijui kwa nini!!
 
Goooooooooaaaaaaaaaal Equatorial Guineaaaa waandika bao la pili
 
Back
Top Bottom