Huyu refa naye anaharibu sasa, beki mmoja wa Ivory Coast karudisha mpira kwa goli kipa wake kwa kichwa na golikipa kuudaka matokeo yake refa kawapa Mali free kick ndani ya penalty box.
Mkuu soma maelezo yangu kwa namna ya kutafsiri sheria ya back pass. Refa yupo sahihi kutoa indirect free kick.