Meja Jenerali Isamuhyo
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 3,129
- 9,678
Kwa mujibu wa mtandao wa Score 90 wametoa kikosi chao bora cha muda wote katika soka. Unakubaliana nao, kama hukubalianai nao nani anatakiwa awepo kikosini?
Austin Jay jay okocha hayupoKwa mujibu wa mtandao wa Score 90 wametoa kikosi chao bora cha muda wote katika soka. Unakubaliana nao, kama hukubalianai nao nani anatakiwa awepo kikosini?View attachment 2991734
Vichaa hao mkuukama hayupo Drogba naona hiyo list yote ni ya kupuuzwa tu. Drogba ni mfalme hata ukienda ulaya anaheshimika sana. Ametwaa hadi UEFA kwa miguu yake.
kushi na mwananke anajua boli raha sanaWana vichaa hao, list bila Drogba ni batili.
Pamoja na kipaji maridhawa, Okocha ni kama alikuwa underrated sana! Hakuwahi kubeba hata tuzo ya mchezaji bora wa AfrikaJay Jay Okocha hayupo?
Aisee!